Pre GE2025 Bananga (Katibu wa siasa na uenezi CCM, DSM) asema No reform No election ni kauli ya kiwendawazimu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu fala na kula kwa mgongo wa mke wake msaliti akae kimya
 
Si wa kijani huyu mwenzako?Mpe kwenzi.
unampaje kwenzi mtu anaeeleza ukweli mtupu naman hiyo gentleman?

ni mwendowazimu, kibaka na tapeli wa kisiasa pekee ndie anaweza kuchochea No reform No Elections,

hali yakua hajafanya reform yeyote kwenye taratibu za uchaguzi wa chama chake mwenyewe, utaratibua ambao aliulalamikia kwa makelele na mdomo sana kabla hajachaguliwa,

and therefore,
no reform no elections is useless and nonsense scam
 
Hii ndio imebamba kitaa,No reform,No election!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…