unampaje kwenzi mtu anaeeleza ukweli mtupu naman hiyo gentleman?
ni mwendowazimu, kibaka na tapeli wa kisiasa pekee ndie anaweza kuchochea No reform No Elections,
hali yakua hajafanya reform yeyote kwenye taratibu za uchaguzi wa chama chake mwenyewe, utaratibua ambao aliulalamikia kwa makelele na mdomo sana kabla hajachaguliwa,
and therefore,
no reform no elections is useless and nonsense scam