Ndo nawakumbusha ndugu Watanzania,Miaka yoooote uchaguzi haupo huruuu na mnapiga kura bado.
Miaka yotee mnaibiwa kura.
Maandamano yakianzishwa hata na yule MWAMBA WA KASKAZINI na akiswekwa ndani wote mikia katikati ya miguu mnabaki maandamano ya kwenye keybod ndio mabingwa hayo hata CHUKUA CHAKO MAPEMA mmewashinda na ndio mnayaweza na somo la matusi mmefuzu.
Mimi niko kwa kwa issue na 1 na 2. Yaani piga ua lazima hayo mambo tujulishwe wananchi kinagaubaga. Je IGA na dubai nini mstakabali wake. Sio siku moja wanatokea dubai hapa wanadai tusifanye hiki na kile au tunashitakiwa kwa kuvunja makubaliano and then tunadaiwa mabilioni. Pili mkata kati ya DP na serikali kuhusu bandari ya dsm uliyoingiwa tuone uwekwe wazi. Kwa yale wananchi tuliyofanyiwa hatuna sababu kuiamini serikali. Tulifika mahali speaker kuwaita wazalendo wenye nia njema kabisa na taifa lao ni wapumbavu, kisa kuharibu picha mchezo wao mchafu. Mtu ni mwanasheria mkubwa tu anatumia hila kupitisha bungeni mkataba wenye masharti ya ovyo wa kulitia taifa kitanzini kwa urefu wa kamba yake ya malisho.Salaam, Shalom!!
Kuna uteuzi ulifanyika siku ya kusaini mkataba BATILI wa kukodisha URITHI wetu, Bandari Kwa wageni.
Uteuzi huo umekuja na wimbi la Matukio ya kutengeneza wenye Nia ya kutusahaulisha wanaukoo juu ya kilichofanyika.
Jambo muhimu juu ya nini Hasa kilisainiwa kwenye mkataba Ule kimebaki kuwa Siri, Viongozi wetu wa kiimani wamejaribu mara kadhaa kuomba mikataba hiyo Ili waisome na kujiridhisha ikiwa Issues zilizokuwa zikipigiwa kelele zimefanyiwa KAZI au la!!
Hadi sasa, hatujapata majibu, media zimechukuliwa na upepo wa uteuzi na maigizo ya kijana wa chama Fulani.
Tunataka kujua yafuatayo;
1. Je IGA ilifutwa au Bado IPO?
2. HGA zilipelekwa bungeni Ili kuangaliwa UPYA ikiwa zimekidhi SHERIA zetu kama nchi juu ya ulinzi wa Raslimali zetu?
3. Kwanini mgao wa umeme unaendelea ilhali mvua zimenyesha kubwa Nchi nzima?
4. Kwanini Mawaziri walioguswa na tuhuma mbalimbali mf Nishati, ujenzi, Fedha nknk hawajaondoshwa Hadi sasa?
5. Pesa zilozoibwa sawasawa na Ripoti ya CAG katika Halmashauri mbalimbali, zimesharudishwa kiasi Gani Hadi sasa?
6. Je ni sawa Rais kuendelea kuteua wahusika wa Tume ya Uchaguzi, I wapi Tume huru ya Uchaguzi?
7. Kwanini uchaguzi wa MITAA 2024 usisogezwe mbele 2025 Ili isimamiwe na Tume huru ya Uchaguzi na kupunguza gharama ya mara mbili?
Ndugu watanzani, tusikubali kuhamishwa kujadili issues muhimu , kamwe tusikubali kutekwa na maigizo ya chama chakavu kinachowaza uchaguzi bila kusema kimewatumikia wananchi Kwa kiwango Gani!!
Ni hayo Kwa sasa.
Karibuni.
Hii mada ilipaswa iwe imeshaenda Viral mpaka sasa...Salaam, Shalom!!
Kuna uteuzi ulifanyika siku ya kusaini mkataba BATILI wa kukodisha URITHI wetu, Bandari Kwa wageni.
Uteuzi huo umekuja na wimbi la Matukio ya kutengeneza wenye Nia ya kutusahaulisha wanaukoo juu ya kilichofanyika.
Jambo muhimu juu ya nini Hasa kilisainiwa kwenye mkataba Ule kimebaki kuwa Siri, Viongozi wetu wa kiimani wamejaribu mara kadhaa kuomba mikataba hiyo Ili waisome na kujiridhisha ikiwa Issues zilizokuwa zikipigiwa kelele zimefanyiwa KAZI au la!!
Hadi sasa, hatujapata majibu, media zimechukuliwa na upepo wa uteuzi na maigizo ya kijana wa chama Fulani.
Tunataka kujua yafuatayo;
1. Je IGA ilifutwa au Bado IPO?
2. HGA zilipelekwa bungeni Ili kuangaliwa UPYA ikiwa zimekidhi SHERIA zetu kama nchi juu ya ulinzi wa Raslimali zetu?
3. Kwanini mgao wa umeme unaendelea ilhali mvua zimenyesha kubwa Nchi nzima?
4. Kwanini Mawaziri walioguswa na tuhuma mbalimbali mf Nishati, ujenzi, Fedha nknk hawajaondoshwa Hadi sasa?
5. Pesa zilozoibwa sawasawa na Ripoti ya CAG katika Halmashauri mbalimbali, zimesharudishwa kiasi Gani Hadi sasa?
6. Je ni sawa Rais kuendelea kuteua wahusika wa Tume ya Uchaguzi, I wapi Tume huru ya Uchaguzi?
7. Kwanini uchaguzi wa MITAA 2024 usisogezwe mbele 2025 Ili isimamiwe na Tume huru ya Uchaguzi na kupunguza gharama ya mara mbili?
Ndugu watanzani, tusikubali kuhamishwa kujadili issues muhimu , kamwe tusikubali kutekwa na maigizo ya chama chakavu kinachowaza uchaguzi bila kusema kimewatumikia wananchi Kwa kiwango Gani!!
Ni hayo Kwa sasa.
Karibuni.
Kijana aulizwe swali hili:Mimi niko kwa kwa issue na 1 na 2. Yaani piga ua lazima hayo mambo tujulishwe wananchi kinagaubaga. Je IGA na dubai nini mstakabali wake. Sio siku moja wanatokea dubai hapa wanadai tusifanye hiki na kile au tunashitakiwa kwa kuvunja makubaliano and then tunadaiwa mabilioni. Pili mkata kati ya DP na serikali kuhusu bandari ya dsm uliyoingiwa tuone uwekwe wazi. Kwa yale wananchi tuliyofanyiwa hatuna sababu kuiamini serikali. Tulifika mahali speaker kuwaita wazalendo wenye nia njema kabisa na taifa lao ni wapumbavu, kisa kuharibu picha mchezo wao mchafu. Mtu ni mwanasheria mkubwa tu anatumia hila kupitisha bungeni mkataba wenye masharti ya ovyo wa kulitia taifa kitanzini kwa urefu wa kamba yake ya malisho.
Mkuu tumechelewa sana mnoo leo wanamuona MMWANZA kama anaigiza wasije CHAMA MAMA wao ni watu wakutupa matukia juu ya matukia mwisho hatuna mwelekeo.Ndo nawakumbusha ndugu Watanzania,
Waachane na maigizo ya kijana wa chama chakavu,
Tuhakikishe, No Tume huru ya Uchaguzi No Uchaguzi wowote kufanyika.
Na Tume huru, iwe huru Kweli Si maigizo ya Tume.@Elli.
Hakuna sehemu yoyote chama kilipoagiza.Kijana aulizwe swali hili:
Ilani inayotumiwa na chama chake ni ya 2020/2025 ya Magu, wapi chama kiliagiza Bandari ziuzwe au kukodishwa Kwa wageni?
Haturogeki Mshana,
Anajinasibu kuwa mzalendo wakati Mzigo wake ulidakwa na Mpango haujalipa Kodi!!Mkuu tumechelewa sana mnoo leo wanamuona MMWANZA kama anaigiza wasije CHAMA MAMA wao ni watu wakutupa matukia juu ya matukia mwisho hatuna mwelekeo.
Unakumbuka MMWANZA alishawahi kusema WATZ wanapenda sana umbeya??
Wakitupa song juu ya song siye tunaruka tu hapo huyu atacheza regge huyu segere huyu rizombe mwisho awamu nyingine hii hapa.
Weee waache tutaelewana tuuHaturogeki Mshana,
Yaani uteuzi ukafanyika siku ya kusaini dude FAKE Ili tusahau ISSUE muhimu na kujadili maigizo ya kijana??
Bado tunasubiri Rufaa ya Case ya Bandari!!
Hama nchiSa ndo umechangia nini?
Nchi yetu Kila uchwao inatembeza bakuli,
Wewe utajiri umeutoa wapi?
Watanzania wakishiba ugali inatosha hayo mengine tuna waachia wasomiSalaam, Shalom!!
Kuna uteuzi ulifanyika siku ya kusaini mkataba BATILI wa kukodisha URITHI wetu, Bandari Kwa wageni.
Uteuzi huo umekuja na wimbi la Matukio ya kutengeneza wenye Nia ya kutusahaulisha wanaukoo juu ya kilichofanyika.
Jambo muhimu juu ya nini Hasa kilisainiwa kwenye mkataba Ule kimebaki kuwa Siri, Viongozi wetu wa kiimani wamejaribu mara kadhaa kuomba mikataba hiyo Ili waisome na kujiridhisha ikiwa Issues zilizokuwa zikipigiwa kelele zimefanyiwa KAZI au la!!
Hadi sasa, hatujapata majibu, media zimechukuliwa na upepo wa uteuzi na maigizo ya kijana wa chama Fulani.
Tunataka kujua yafuatayo;
1. Je IGA ilifutwa au Bado IPO?
2. HGA zilipelekwa bungeni Ili kuangaliwa UPYA ikiwa zimekidhi SHERIA zetu kama nchi juu ya ulinzi wa Raslimali zetu?
3. Kwanini mgao wa umeme unaendelea ilhali mvua zimenyesha kubwa Nchi nzima?
4. Kwanini Mawaziri walioguswa na tuhuma mbalimbali mf Nishati, ujenzi, Fedha nknk hawajaondoshwa Hadi sasa?
5. Pesa zilozoibwa sawasawa na Ripoti ya CAG katika Halmashauri mbalimbali, zimesharudishwa kiasi Gani Hadi sasa?
6. Je ni sawa Rais kuendelea kuteua wahusika wa Tume ya Uchaguzi, I wapi Tume huru ya Uchaguzi?
7. Kwanini uchaguzi wa MITAA 2024 usisogezwe mbele 2025 Ili isimamiwe na Tume huru ya Uchaguzi na kupunguza gharama ya mara mbili?
Ndugu watanzani, tusikubali kuhamishwa kujadili issues muhimu , kamwe tusikubali kutekwa na maigizo ya chama chakavu kinachowaza uchaguzi bila kusema kimewatumikia wananchi Kwa kiwango Gani!!
Ni hayo Kwa sasa.
Karibuni.
HABARI HIZI ZIMFIKIE YULE MJAMBIANI MPUMBAVU ANAYE DHANI NI AKILI KUGAWA NCHI YETU KWA YEYE KUPEWA KARATASI ZA PHDSalaam, Shalom!!
Kuna uteuzi ulifanyika siku ya kusaini mkataba BATILI wa kukodisha URITHI wetu, Bandari Kwa wageni.
Uteuzi huo umekuja na wimbi la Matukio ya kutengeneza wenye Nia ya kutusahaulisha wanaukoo juu ya kilichofanyika.
Jambo muhimu juu ya nini Hasa kilisainiwa kwenye mkataba Ule kimebaki kuwa Siri, Viongozi wetu wa kiimani wamejaribu mara kadhaa kuomba mikataba hiyo Ili waisome na kujiridhisha ikiwa Issues zilizokuwa zikipigiwa kelele zimefanyiwa KAZI au la!!
Hadi sasa, hatujapata majibu, media zimechukuliwa na upepo wa uteuzi na maigizo ya kijana wa chama Fulani.
Tunataka kujua yafuatayo;
1. Je IGA ilifutwa au Bado IPO?
2. HGA zilipelekwa bungeni Ili kuangaliwa UPYA ikiwa zimekidhi SHERIA zetu kama nchi juu ya ulinzi wa Raslimali zetu?
3. Kwanini mgao wa umeme unaendelea ilhali mvua zimenyesha kubwa Nchi nzima?
4. Kwanini Mawaziri walioguswa na tuhuma mbalimbali mf Nishati, ujenzi, Fedha nknk hawajaondoshwa Hadi sasa?
5. Pesa zilozoibwa sawasawa na Ripoti ya CAG katika Halmashauri mbalimbali, zimesharudishwa kiasi Gani Hadi sasa?
6. Je ni sawa Rais kuendelea kuteua wahusika wa Tume ya Uchaguzi, I wapi Tume huru ya Uchaguzi?
7. Kwanini uchaguzi wa MITAA 2024 usisogezwe mbele 2025 Ili isimamiwe na Tume huru ya Uchaguzi na kupunguza gharama ya mara mbili?
Ndugu watanzani, tusikubali kuhamishwa kujadili issues muhimu , kamwe tusikubali kutekwa na maigizo ya chama chakavu kinachowaza uchaguzi bila kusema kimewatumikia wananchi Kwa kiwango Gani!!
Ni hayo Kwa sasa.
Karibuni.
Nihame Nchi!! Bandari, ardhi na maliasili zetu za URITHI nimwachie nani?Hama nchi
IGA haujafutwa. Ndio mkataba mama. Kilichosainiwa Dodoma ni HGA, lakini serikali hii ya ccm ikadanganua raia wake mkataba umerekebishwa. Masikini waTanzania hawa ukiwauliza IGA ni nini na HGA ni nini hawajui. Tumeliwa. Jambazi kateuliwa ili kuhamidsha mjadala kutoka kujadili rasilimali zetu zinazoporwa, tujadili jambazi.Tusikubali kuhamishwa kujadili issue ya msingi.
Je IGA ilifutwa?
Professor shivji na manguli wengi wa SHERIA walisema haifai hata kidogo,
Tusikubali husahaulishwa,IGA haujafutwa. Ndio mkataba mama. Kilichosainiwa Dodoma ni HGA, lakini serikali hii ya ccm ikadanganua raia wake mkataba umerekebishwa. Masikini waTanzania hawa ukiwauliza IGA ni nini na HGA ni nini hawajui. Tumeliwa. Jambazi kateuliwa ili kuhamidsha mjadala kutoka kujadili rasilimali zetu zinazoporwa, tujadili jambazi.
Kwenye #3: Sio kweli kwamba mvua zimenyesha nchi nzima. Hivi nyie watu wa Dar mkoje? Mvua zikinyesha Dar mnaona imenyesha nchi nzima? Na hizo mvua zimenyesha kwa muda gani? Mabwawa yanategemea catchment areas. Catchment area ya Bwawa la Mtera bado haijapata mvua kabisa. Ni Wilaya za Mbarali, Makete, Wanging'ombe na Iringa kwa sehemu. Hizo wilaya bado hazijapata mvua kabisa. Ni kukame kabisa. Bwawa la Mtera ndilo Bwawa la HEP kubwa kuliko mengine only to be second to JNHPP Mungu akiijalia.Salaam, Shalom!!
Kuna uteuzi ulifanyika siku ya kusaini mkataba BATILI wa kukodisha URITHI wetu, Bandari Kwa wageni.
Uteuzi huo umekuja na wimbi la Matukio ya kutengeneza wenye Nia ya kutusahaulisha wanaukoo juu ya kilichofanyika.
Jambo muhimu juu ya nini Hasa kilisainiwa kwenye mkataba Ule kimebaki kuwa Siri, Viongozi wetu wa kiimani wamejaribu mara kadhaa kuomba mikataba hiyo Ili waisome na kujiridhisha ikiwa Issues zilizokuwa zikipigiwa kelele zimefanyiwa KAZI au la!!
Hadi sasa, hatujapata majibu, media zimechukuliwa na upepo wa uteuzi na maigizo ya kijana wa chama Fulani.
Tunataka kujua yafuatayo;
1. Je IGA ilifutwa au Bado IPO?
2. HGA zilipelekwa bungeni Ili kuangaliwa UPYA ikiwa zimekidhi SHERIA zetu kama nchi juu ya ulinzi wa Raslimali zetu?
3. Kwanini mgao wa umeme unaendelea ilhali mvua zimenyesha kubwa Nchi nzima?
4. Kwanini Mawaziri walioguswa na tuhuma mbalimbali mf Nishati, ujenzi, Fedha nknk hawajaondoshwa Hadi sasa?
5. Pesa zilozoibwa sawasawa na Ripoti ya CAG katika Halmashauri mbalimbali, zimesharudishwa kiasi Gani Hadi sasa?
6. Je ni sawa Rais kuendelea kuteua wahusika wa Tume ya Uchaguzi, I wapi Tume huru ya Uchaguzi?
7. Kwanini uchaguzi wa MITAA 2024 usisogezwe mbele 2025 Ili isimamiwe na Tume huru ya Uchaguzi na kupunguza gharama ya mara mbili?
Ndugu watanzani, tusikubali kuhamishwa kujadili issues muhimu , kamwe tusikubali kutekwa na maigizo ya chama chakavu kinachowaza uchaguzi bila kusema kimewatumikia wananchi Kwa kiwango Gani!!
Ni hayo Kwa sasa.
Karibuni.
Haihitaji Watanzania wote kujua IGA ndio irekebishwe. Kuna Makundi ya kijamii, vyama vya kitaaluma na vyama vya siasa. Vinatosha.IGA haujafutwa. Ndio mkataba mama. Kilichosainiwa Dodoma ni HGA, lakini serikali hii ya ccm ikadanganua raia wake mkataba umerekebishwa. Masikini waTanzania hawa ukiwauliza IGA ni nini na HGA ni nini hawajui. Tumeliwa. Jambazi kateuliwa ili kuhamidsha mjadala kutoka kujadili rasilimali zetu zinazoporwa, tujadili jambazi.
Tafuta video ya kusainiwa kwa mikataba ya bandarini kule ikulu Dodoma, mkurugenzi wa TPA kajibu hoja zako zote.Salaam, Shalom!!
Kuna uteuzi ulifanyika siku ya kusaini mkataba BATILI wa kukodisha URITHI wetu, Bandari Kwa wageni.
Uteuzi huo umekuja na wimbi la Matukio ya kutengeneza wenye Nia ya kutusahaulisha wanaukoo juu ya kilichofanyika.
Jambo muhimu juu ya nini Hasa kilisainiwa kwenye mkataba Ule kimebaki kuwa Siri, Viongozi wetu wa kiimani wamejaribu mara kadhaa kuomba mikataba hiyo Ili waisome na kujiridhisha ikiwa Issues zilizokuwa zikipigiwa kelele zimefanyiwa KAZI au la!!
Hadi sasa, hatujapata majibu, media zimechukuliwa na upepo wa uteuzi na maigizo ya kijana wa chama Fulani.
Tunataka kujua yafuatayo;
1. Je IGA ilifutwa au Bado IPO?
2. HGA zilipelekwa bungeni Ili kuangaliwa UPYA ikiwa zimekidhi SHERIA zetu kama nchi juu ya ulinzi wa Raslimali zetu?
3. Kwanini mgao wa umeme unaendelea ilhali mvua zimenyesha kubwa Nchi nzima?
4. Kwanini Mawaziri walioguswa na tuhuma mbalimbali mf Nishati, ujenzi, Fedha nknk hawajaondoshwa Hadi sasa?
5. Pesa zilozoibwa sawasawa na Ripoti ya CAG katika Halmashauri mbalimbali, zimesharudishwa kiasi Gani Hadi sasa?
6. Je ni sawa Rais kuendelea kuteua wahusika wa Tume ya Uchaguzi, I wapi Tume huru ya Uchaguzi?
7. Kwanini uchaguzi wa MITAA 2024 usisogezwe mbele 2025 Ili isimamiwe na Tume huru ya Uchaguzi na kupunguza gharama ya mara mbili?
Ndugu watanzani, tusikubali kuhamishwa kujadili issues muhimu , kamwe tusikubali kutekwa na maigizo ya chama chakavu kinachowaza uchaguzi bila kusema kimewatumikia wananchi Kwa kiwango Gani!!
Ni hayo Kwa sasa.
Karibuni.