Salaam, Shalom!!
Kuna uteuzi ulifanyika siku ya kusaini mkataba BATILI wa kukodisha URITHI wetu, Bandari Kwa wageni.
Uteuzi huo umekuja na wimbi la Matukio ya kutengeneza wenye Nia ya kutusahaulisha wanaukoo juu ya kilichofanyika.
Jambo muhimu juu ya nini Hasa kilisainiwa kwenye mkataba Ule kimebaki kuwa Siri, Viongozi wetu wa kiimani wamejaribu mara kadhaa kuomba mikataba hiyo Ili waisome na kujiridhisha ikiwa Issues zilizokuwa zikipigiwa kelele zimefanyiwa KAZI au la!!
Nyumisi amehoji kuwa, waziri Mbarawa na watetezi wa DP World,walidai kuwa DP World wakipewa mkataba, Serikali itapunguza utegemezi wa kukopa nje, kwamba DP World wataleta pesa nyingi, iweje tena Serikali ikope Trilion SITA kufadhili budget wakati DP World IPO?
Hadi sasa, hatujapata majibu, media zimechukuliwa na upepo wa uteuzi na maigizo ya kijana wa chama Fulani.
Tunataka kujua yafuatayo;
1. Je IGA ilifutwa au Bado IPO?
2. HGA zilipelekwa bungeni Ili kuangaliwa UPYA ikiwa zimekidhi SHERIA zetu kama nchi juu ya ulinzi wa Raslimali zetu?
3. Kwanini mgao wa umeme unaendelea ilhali mvua zimenyesha kubwa Nchi nzima?
4. Kwanini Mawaziri walioguswa na tuhuma mbalimbali mf Nishati, ujenzi, Fedha nknk hawajaondoshwa Hadi sasa?
5. Pesa zilozoibwa sawasawa na Ripoti ya CAG katika Halmashauri mbalimbali, zimesharudishwa kiasi Gani Hadi sasa?
6. Je ni sawa Rais kuendelea kuteua wahusika wa Tume ya Uchaguzi, I wapi Tume huru ya Uchaguzi?
7. Kwanini uchaguzi wa MITAA 2024 usisogezwe mbele 2025 Ili isimamiwe na Tume huru ya Uchaguzi na kupunguza gharama ya mara mbili?
8.Ikiwa DP World Wana manufaa katika Nchi yetu, kwanini Serikali ikope Trilion SITA kufadhili budget ijayo wakati DP world wapo? HOJA hii no. 8,imetolewa na Nyumisi memba wa JF.
Ndugu watanzani, tusikubali kuhamishwa kujadili issues muhimu , kamwe tusikubali kutekwa na maigizo ya chama chakavu kinachowaza uchaguzi bila kusema kimewatumikia wananchi Kwa kiwango Gani!!
Ni hayo Kwa sasa.
Karibuni.
Kuna uteuzi ulifanyika siku ya kusaini mkataba BATILI wa kukodisha URITHI wetu, Bandari Kwa wageni.
Uteuzi huo umekuja na wimbi la Matukio ya kutengeneza wenye Nia ya kutusahaulisha wanaukoo juu ya kilichofanyika.
Jambo muhimu juu ya nini Hasa kilisainiwa kwenye mkataba Ule kimebaki kuwa Siri, Viongozi wetu wa kiimani wamejaribu mara kadhaa kuomba mikataba hiyo Ili waisome na kujiridhisha ikiwa Issues zilizokuwa zikipigiwa kelele zimefanyiwa KAZI au la!!
Nyumisi amehoji kuwa, waziri Mbarawa na watetezi wa DP World,walidai kuwa DP World wakipewa mkataba, Serikali itapunguza utegemezi wa kukopa nje, kwamba DP World wataleta pesa nyingi, iweje tena Serikali ikope Trilion SITA kufadhili budget wakati DP World IPO?
Hadi sasa, hatujapata majibu, media zimechukuliwa na upepo wa uteuzi na maigizo ya kijana wa chama Fulani.
Tunataka kujua yafuatayo;
1. Je IGA ilifutwa au Bado IPO?
2. HGA zilipelekwa bungeni Ili kuangaliwa UPYA ikiwa zimekidhi SHERIA zetu kama nchi juu ya ulinzi wa Raslimali zetu?
3. Kwanini mgao wa umeme unaendelea ilhali mvua zimenyesha kubwa Nchi nzima?
4. Kwanini Mawaziri walioguswa na tuhuma mbalimbali mf Nishati, ujenzi, Fedha nknk hawajaondoshwa Hadi sasa?
5. Pesa zilozoibwa sawasawa na Ripoti ya CAG katika Halmashauri mbalimbali, zimesharudishwa kiasi Gani Hadi sasa?
6. Je ni sawa Rais kuendelea kuteua wahusika wa Tume ya Uchaguzi, I wapi Tume huru ya Uchaguzi?
7. Kwanini uchaguzi wa MITAA 2024 usisogezwe mbele 2025 Ili isimamiwe na Tume huru ya Uchaguzi na kupunguza gharama ya mara mbili?
8.Ikiwa DP World Wana manufaa katika Nchi yetu, kwanini Serikali ikope Trilion SITA kufadhili budget ijayo wakati DP world wapo? HOJA hii no. 8,imetolewa na Nyumisi memba wa JF.
Ndugu watanzani, tusikubali kuhamishwa kujadili issues muhimu , kamwe tusikubali kutekwa na maigizo ya chama chakavu kinachowaza uchaguzi bila kusema kimewatumikia wananchi Kwa kiwango Gani!!
Ni hayo Kwa sasa.
Karibuni.