Bandari haijakodishwa bali imeporwa

Ndivyo ulivyoelewa?
 
Wanaposema wanalinda mipaka ya nchi, ni mipaka ipi wanamaanisha, mbona huu mpaka kupitia bahari unaibwa?

Mipaka ya nchi iliyowekwa kisheria, kulinda haimaanish kila maamuzi ya serikali waingilie no, hilo ni jukumu la wananchi , wananchi wakiamua probably wata support until then
 
Hakuna anayekata ukodishwaji katika uendeshaji, lakini mkataba unatakiwa uwe wazi na wenye maslahi mapana.

Tunataka muda wa mkataba.
Tunataka tujue DP atawekeza kiasi gani?
Sisi mpaka sasa tumewekeza kiasi gani?
DP kutokana na kiwango cha uwekezaji wake vs uwekezaji wetu plus ni rasilimali yetu, yeye atakuwa anamiliki kiasi gani na sisi tutamiliki kiasi gani?
Yeye atapata asilimia ngapi ya faida, na sisi tutapata asilimia ngapi?

Tunataka tujue ni mambo gani DP akiyafanya au asipoyafanya itamaanisha amekiuka mkataba, na hivyo sisi kumfurusha bila ya kumlipa fidia yoyote?

Halikadhalika kwa upande wetu, ni mambo gani tukiyafanya au tusipoyafanya, itamaanisha tumekiuka mkataba, na hivyo mkataba kukoma, na sisi kulazimika kumlipa fidia?

Hatutaki tubadilishe aina ya wezi, yaani tutoke kwenye kuibiwa na waswahili wenzetu, tuanze kuibiwa na mwarabu. Tunataka kusiwepo na wizi.
 
Mnyonge mnyongeni haki yake tumpe JPM kwenye rasilimali alijitahidi sana kwenye madini aliongeza umiliki Wa govt kutoka %10 mpaka %16 na hapo hatujawekeza pesa zetu %100 uwekezaji Wa pesa ni wao but kwenye hili La bandari tayari govt imewekeza trillion of money anakuja mjinga mmoja anasema atamiliki yeye pekee kwa %100 na mashariti ya kijinga kibao!!JPM alikosea Ku deal na wapinzani wake tu ambacho pia sio kitu kidogo kushindwa Ku balance democrasia daah!!! Tunakwenda wapi jamani!!
 
Samia ni msaliti na ni dhaifu sana.
 
Uzuri hili nalo litapita.
Kelele hz za bandari mwisho mwezi huu tu kuzisikia, ikifika July tutakuwa na habari zingine
Tayari tupo July, tunaelekea mwishoni, suala la uporwaji wa bandari bado tunalo. Na hatutakoma kulaani na kukemea mkataba ule wa kishenzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…