BANDARI HUMILITED SIMBA ( PAKA)

BANDARI HUMILITED SIMBA ( PAKA)

Teargass

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2018
Posts
20,648
Reaction score
17,772
Bandari is off to Sportspesa cup final after thwarting Simba sports club 2-1 in their home stadium. Last time some people claimed here that they didn't win the cup because the pitch was bad ( Afraha Stadium). Sasa mmetolewa in your own stadium I wonder what the excuse will be today.
IMG_20190125_160510.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila Simba wanatia aibu sana, uwekezaji wote ule lakini wanafungwa na kitimu kama Bandari. Bora hata Yanga wao hatuwategemei kufanya makubwa kwa sababu hawana pesa na maisha ya wachezaji ni ya kuungauunga.

Huu msimu pamoja na uwekezaji mkubwa wa MO lakini Simba watamaliza mikono mitupu. inasikitisha sana, sasa kama sportpesa tu imewashinda sijui watachukua kikombe gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom