BANDARI HUMILITED SIMBA ( PAKA)

Ila Simba wanatia aibu sana, uwekezaji wote ule lakini wanafungwa na kitimu kama Bandari. Bora hata Yanga wao hatuwategemei kufanya makubwa kwa sababu hawana pesa na maisha ya wachezaji ni ya kuungauunga.

Huu msimu pamoja na uwekezaji mkubwa wa MO lakini Simba watamaliza mikono mitupu. inasikitisha sana, sasa kama sportpesa tu imewashinda sijui watachukua kikombe gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…