Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Akiongea ktk kipindi cha dakika 45 leo waziri kivuli wa uchukuzi "Moses Machali"amesema kabla hajaingia bungeni aliwahi kumsikia mbunge moja akisema bandari pekee yaweza kuingiza mapato ya Tshs 10T kwa mwaka.hiyo ikiwa miaka ya 2005-2008 machali naye ana support kauli hii .Je wana JF ni kweli Kwamba bandari ye2 inaweza kuingiza mapato hayo? Au hata zaidi Kwa mwaka?