FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Shule za kusomea ujinga. Unauliza jibu?Hidadi ni nini hicho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shule za kusomea ujinga. Unauliza jibu?Hidadi ni nini hicho?
Hilo gazeti la lini??Hapo ni bashraf tu ya uwepo wa DP world toks wasanzuke ticts, bado mziki kamili utaanza kelele za wapinga maendeleo zikinyamaza.
dah hii nchi inanichekeshaga sanaBila shaka yoyote
Ni wanafiki wa hali ya juuNaona sifa na pongesi zote zinaenda kwa samia ikiwa yeye hajaipanua yeye kafanya kuiuza tu
Uwekezaji WA trillion 1 ilifanyiwa na niwe..siyo samiaUwekezaji wa zaidi ya trillioni 1 uliofanywa na serikali kwenye maboresho ya bandari ya Dares salaam umezaa matunda baada ya mara ya kwanza kuipiku bandari ya Mombasa kwa idadi ya mizigo.
Kwenye utawala wa Kikwete bandari ya Dar ilikuwa duni kiasi cha kupaki meli yenye urefu wa mita 100 tu ,lakini kwenye utawala wa Hayati Magufuli ilipanuliwa na sasa ina uwezo wa kupaki meli yenye urefu wa zaidi ya mita 200 hivyo kushusha na kupakia makontena mengi zaidi.View attachment 2656803
Ni gazeti la machawaUwekezaji WA trillion 1 ilifanyiwa na niwe..siyo samia
Yaani akili za watanzania bhan.Uwekezaji wa zaidi ya trillioni 1 uliofanywa na serikali kwenye maboresho ya bandari ya Dares salaam umezaa matunda baada ya mara ya kwanza kuipiku bandari ya Mombasa kwa idadi ya mizigo.
Kwenye utawala wa Kikwete bandari ya Dar ilikuwa duni kiasi cha kupaki meli yenye urefu wa mita 100 tu ,lakini kwenye utawala wa Hayati Magufuli ilipanuliwa na sasa ina uwezo wa kupaki meli yenye urefu wa zaidi ya mita 200 hivyo kushusha na kupakia makontena mengi zaidi.View attachment 2656803
Lete wewe hizo takwimu,si una sema ni mdau!?, watu mnapenda kujikweeza,wakati ni mabarakala tu wa kawaida.Ungeleta idadi ya containers inao shushwa sio urefu ma meri inao paki, dar bado haijafikia mombosa mimi ni mdao wa hizo bandari zote mbili, acheni uongo wa kuona kwamva mama kuleta wawekezaji kakosoa.
Mwekezaji kapewa lifti ya tsh 1 trillion 🤣Mbona duh tena [emoji1]
Ova
Aise Ana zali la mentaliMwekezaji kapewa lifti ya tsh 1 trillion [emoji1787]
Mjomba nae ni mamaSasa kwanini mmeiuza kama ndio hivyo?
Lakini mjomba ni mama mkuu.Bandari ya wajomba sio yetu tena, wacha kushangilia ujinga.
Wewe unajua kipi zaidi ya kuzushia watuTatizo kufuatilia mambo yenye faida hamuwezi, kutwa kuwaza ujinga tu.
Tatizo kufuatilia mambo yenye faida hamuwezi, kutwa kuwaza ujinga tu.