Bandari ya Dar es salaam yazidi kupokea meli kubwa duniani

Bandari ya Dar es salaam yazidi kupokea meli kubwa duniani

tatum

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2018
Posts
5,786
Reaction score
4,491
DqZt7JEW4AA92Ec.jpg

Kwa mara nyingine tena meli kubwa ya Kontena ijulikanayo kama RHL CALLIDITAS yenye urefu wa mita 260 imeingia katika Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni mfululizo wa Bandari hiyo kuingiza meli kubwa na ndefu. Meli hiyo ina uwezo wa kubeba Kontena 4,800.
 
Tatizo hivi vitu vimekua hadimu awamu hii. Ngoja tujipongeze kwa hili.
 
Kuna moja hiyo ilifunga hapo mwaka jana imezidiwa na hii Mita 10. John piga kazi ila angalau legeza watu waimarike uwezo wa kununua
 
Tatizo hivi vitu vimekua hadimu awamu hii. Ngoja tujipongeze kwa hili.
NI kweli...yani ndege ilikosea kutua ikawa breaking news za kujipongeza...hatujazoea hivi vitu
...au ndio tunajitangaza kimataifa kwa kuanza kwa kua proud na vyetu??...maana kama kuna kitu nimekiona kwa wenzetu kama wamarekani, ni kujisifia kila kitu....akiwa ni fundi atakwambia i'm the best mechanic in the world, akiwa muuza chai atakwambia anatoa world class tea! (Kumbe hamna lolote...hajanywa chai muheza au kiwengwa znz akajionea tofauti!)....raisi wao anaitwa leader of the free world! (wakati hata hapo vuchamandambwe kuna wadau hawamjui kabisa)
 
Kuna dhana hutumika katika masuala ya fedha. Dhana hiyo hufahamika kama "Input output ratio".
Swali la kujiuliza je, nini manufaa ya kuja kwa meli hii kaw uchumi wetu na katika mnyororo wa thamani? Au ni mwendo wa vigeregere mithili ya juha kwa kila jambo linalofanyika katika awamu hii ya mtukufu mwenye kutukuka katika milki yake yenye mazuzu.
 
View attachment 911205
Kwa mara nyingine tena meli kubwa ya Kontena ijulikanayo kama RHL CALLIDITAS yenye urefu wa mita 260 imeingia katika Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni mfululizo wa Bandari hiyo kuingiza meli kubwa na ndefu. Meli hiyo ina uwezo a kubeba Kontena 4,800.
Heeee!!hii nayo ni habari jamani?!!mala
airbusus 380!!SO WHAT?daaa huku bajeti ya wizara ya afya 2016/017 ndio hiyo ilioelekwa asilimia 31!!!
 
Kuna dhana hutumika katika masuala ya fedha. Dhana hiyo hufahamika kama "Input output ratio".
Swali la kujiuliza je, nini manufaa ya kuja kwa meli hii kaw uchumi wetu na katika mnyororo wa thamani? Au ni mwendo wa vigeregere mithili ya juha kwa kila jambo linalofanyika katika awamu hii ya mtukufu mwenye kutukuka katika milki yake yenye mazuzu.
kuna wengi hawapendi hizi taarifa.
 
Vipi issue ya uhaba wa wafanya kazi ilisha isha au bado
 
Ukiona Serikali na watu wanatumwa kufanya propaganda juwa kuna kitu halipo sawa. Hizo meli zilikuwa zinaingi bandarini miaka yote 40 toka bandari ilipofanyiwa matengenezo. Lakini awamu hi imekuwa moja ya ajenda, yajayo yanafurahisha zaidi.
 
Tatizo unapoamua kila kitu unachofanya unajilinganisha na mwenzako.
Ujuha
 
View attachment 911205
Kwa mara nyingine tena meli kubwa ya Kontena ijulikanayo kama RHL CALLIDITAS yenye urefu wa mita 260 imeingia katika Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni mfululizo wa Bandari hiyo kuingiza meli kubwa na ndefu. Meli hiyo ina uwezo wa kubeba Kontena 4,800.
mbona ina zaidi ya 2 weks imetua hapo ndo umejua Leo au
 
Hapo imekuja na kontena karibia 4,800,lakini utakuta kontena chache sana walau elfu moja(1000) tu ndo zinarudi na mizigo karibia kontena elfu tatu(3000) zinarudi tupu.Our exporting ability is almost negligible. Where are our exporters?
 
Hapo imekuja na kontena karibia 4,800,lakini utakuta kontena chache sana walau elfu moja(1000) tu ndo zinarudi na mizigo karibia kontena elfu tatu(3000) zinarudi tupu.Our exporting ability is almost negligible. Where are our exporters?
jiulize na wewe kwanini hufanyi exporting?
 
Mitanzania aibu tubu hovyo kabisa ,hii ni taarifa kama zilivyo taarifa nyingine kwani ni vibaya mtoa mada alivyo tuletea?
Au mnataka taarifa za kuponda serikali muda wote!?,
Mwingine analeta issue za exporting ability aaaaaah!
 
Back
Top Bottom