DOKEZO Bandari ya Dar kuna Urasimu, mizigo inatoka taratibu sana. Serikali, nini kinaendelea?

DOKEZO Bandari ya Dar kuna Urasimu, mizigo inatoka taratibu sana. Serikali, nini kinaendelea?

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Bandari ya Tanzania wanatoa siku 7 bure kwa mzigo wa ndani kukaa pale kisha siku zinazofata utalipia storage charges.

Sidhani kama bandari wanaweza wakachelewesha mzigo uliochini ili wapate pesa ya storage. Kama ni ofisa fulani alikwamisha ni vyema ukaweka wazi kwa kumuuliza Wakala wako wa Forodha (Clearing Agent) wapi walimkwamisha.

Unaweza kuta agent alichelewa kufata release order, kuingiza documents, kufatilia na kulipia huduma ya verification.

TPA kwenye mfumo wa kuondoa mizigo saizi wamekuja na mfumo ambao hautaji sana paper work Kwenye kuingiza au kutoa mzigo.
Acha mambo ya "NADHANI", "KAMA"..... Mimi pia nina mizigo imefika tangu tarehe 16/12/2023 hadi leo sijapata. Silent Ocean wanasema kinachoendelea ni inspection. Jiulize kama Silent Ocean na ubabe wao wote kontena zinakaa zaidi ya mwezi vipi wengine? Kinachoendelea bandarini ni HUJUMA kwa Mama Samia. Wananchi wataichukia serikali kwa sababu ya ujinga wa watu wachache.
 
Dp world hauhusiki maana kufungua container moja baada ya moja ndio foleni zile cranes zinasumbua hata wafanye akzi masaa 24...Kufanikiwa kwa Dp world ni kuleta miundombinu mipya..

Je pale bandari umeona miundombinu mipya?
DP world hajaanza kazi
 
Ni urasimu lakini pia Watanzania wengi ni watu slow sana
 
Acha mambo ya "NADHANI", "KAMA"..... Mimi pia nina mizigo imefika tangu tarehe 16/12/2023 hadi leo sijapata. Silent Ocean wanasema kinachoendelea ni inspection. Jiulize kama Silent Ocean na ubabe wao wote kontena zinakaa zaidi ya mwezi vipi wengine? Kinachoendelea bandarini ni HUJUMA kwa Mama Samia. Wananchi wataichukia serikali kwa sababu ya ujinga wa watu wachache.
Inspection wanaofanya Hizo Taasisi zinajulikana. TPA kwenye Inspection yeye anakuwa mtazamaji tu, Taasisi zinazofanya Inspection ndio zina wakwamisha mzigo usitoke kwa wakati.
 
Back
Top Bottom