Bandari ya Mombasa kuchuliwa na Wachina

Bandari ya Mombasa kuchuliwa na Wachina

That tweet is your source? Really? Have you bothered to check their website?

Look at this laziness. Wash rinse repeat
Screenshot_20191112-133437.png
 
Yaani nchi ishindwe kulipa deni ya kireli kimoja?,,kwani watu hawalipi kodi?,mapato ya nchi ni makubwa sana kushindwa kulipa project moja,
si mnaona hata sisi tunanunua ndege kama tunanunua pipi?
 
hata spelling ya kuchukuliwa haujui…..sasa hadithi za vijiweni unatupa tukuamini vipi???
 


Soma hiyo ndio utaona shida
Aki nyinyi watanzania mko na shida kweli[emoji23][emoji23], so mmeamua reporti ya 2018 November ndio muanze kusambaza Twitter saa hii[emoji23][emoji23][emoji23]. The report was written eleven months ago.
Screenshot_20191117-001822.jpeg
 
Uko na chakula na huna Condom? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Majabu ya Musa hayo.
Food is important kuliko hizo upuuzi,
Condom zipo za kununua, hakuna Anayetumia condom za bure,
Alafu mbona unaulizia condom au wewe ni manzi au unagawa 071?
 
Food is important kuliko hizo upuuzi,
Condom zipo za kununua, hakuna Anayetumia condom za bure,
Alafu mbona unaulizia condom au wewe ni manzi au unagawa 071?
Hakuna Condom Tanzania na ndiyo maana serikali yenyu inapiga magoti mpewe usaidizi wa Condom.
 
Hakuna Condom Tanzania na ndiyo maana serikali yenyu inapiga magoti mpewe usaidizi wa Condom.
Wewe mjinga kweli, aliyekudanganya condom hakuna ni nani?
Unajua vitu vingine usipende kureply kishabiki ili uonekane tu na wewe umereply,
Alafu samahani sana huwa situmii 071 maana naona ni kama inakuwasha hadi unaongelea mambo ya condom hapa.
 
Du yaani bandari ya mombasa mnasema ni bandari kubwa kuliko zote lakini inataengeneza only $420 million? Dar es salaam port can handle only 15.8 million tons na inaingiza $ 390 miliion.. wakenya mna wizi sana miongoni mwenu.. Mombasa port kwa ukubwa ilionao inatakuwa iingize $ 600mil atleast...Poleni sana
Anza na ushahidi Tafadhali
 
Wewe mjinga kweli, aliyekudanganya condom hakuna ni nani?
Unajua vitu vingine usipende kureply kishabiki ili uonekane tu na wewe umereply,
Alafu samahani sana huwa situmii 071 maana naona ni kama inakuwasha hadi unaongelea mambo ya condom hapa.
Hata afadhali mkate ingezaliwa tule…..
 
Mchina mkoloni anaekuja kwa kasi kulimeza bara la Afrika, tahadhari ni muhimu.
 
Back
Top Bottom