Bando limepanda kimyakimya

Bando limepanda kimyakimya

kakolo

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
397
Reaction score
341
Wakati watu wakijadili habari za nyongeza za mishahara bando limepanda bila kutangazwa. 20'000 ilikuwa unapata gb 30, mama alipoingia 20'000 unapata gb19 kuanzia juzi 20'000 unapata gb17. Tigo hao, provider wengine sijawajaribu. Mama anaupiga mwingi kwelikweli.
 
Wakati watu wakijadili habari za nyongeza za mishahara bando limepanda bila kutangazwa. 20'000 ilikuwa unapata gb 30, mama alipoingia 20'000 unapata gb19 kuanzia juzi 20'000 unapata gb17. Tigo hao, provider wengine sijawajaribu. Mama anaupiga mwingi kwelikweli.
... tiGo 20,000 GB 20? Tangu lini? Hakuna kitu kama hicho! Toka enzi 20,000 ni GB 12; 10,000 GB 2.5. Sijui juzi yako unamaanisha since when?
 
... tiGo 20,000 GB 20? Tangu lini? Hakuna kitu kama hicho! Toka enzi 20,000 ni GB 12; 10,000 GB 2.5. Sijui juzi yako unamaanisha since when?
Nahisi ni kwa watu wa tigo post paid

Ila sie wa vocha ni 20K kwa gb 12
 
Kama unatumia tigo tuma "social bonus" kwenda 15166. Utapata free internet kwa siku 4 bila kikomo. (Ukitaka shinda youtube usiku na mchana)

NB: Sio simu zote zitakubali.
 
Si hivyo tu inaonesha mita ya bando ni kama imeongezewa kasi.
 
Back
Top Bottom