Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 612
- 1,698
Kilio cha Wananchi kimepuuzwa na SERIKALI. Kwa Hali ilivyo ni wazi kwamba unyonyaji huu unabaraka za mamlaka za juu. Sasa imekua ni mashindano ya kukandakiza wanyonge.
Baada ya kauli ya waziri kuwa Bando za internet ni huruma ya ziada, Sasa Makampuni uameshusha viwango zaidi. Ni kama wamepewa maagizo ya kusanya pesa kwaajili ya mamlaka flani.
Ukweli ni kwamba, Dunia ya Sasa imehama kwenye sera zilipendwa za. Maji,elimu, afya na Barabara. Ni Aibu Kwa waziri kupuuza wakati wa digitali na kusema ni ziada.
Yaani Teknoama ni ziada na kwamba sio lazima. Huku ndiko kuvimbiwa Asali baada ya kulamba Kwa ulafi. Katika Uchaguzi ujao, sera ya Bando za simu itakua na mashiko kuliko hizo Barabara zenu, kuliko mazingaombwe yenu ya Milioni 50 Kila Kijiji.
Kwakua Waziri amamua kuwa mkwapuaji, ni wakati wa CCM kutafakari athali za maamuzi ya waziri huyu juu ya gharama atakazo sababisha.
CCM itaanguka sababu ya Bando za MB. Amin Amin Nawaambia.
Baada ya kauli ya waziri kuwa Bando za internet ni huruma ya ziada, Sasa Makampuni uameshusha viwango zaidi. Ni kama wamepewa maagizo ya kusanya pesa kwaajili ya mamlaka flani.
Ukweli ni kwamba, Dunia ya Sasa imehama kwenye sera zilipendwa za. Maji,elimu, afya na Barabara. Ni Aibu Kwa waziri kupuuza wakati wa digitali na kusema ni ziada.
Yaani Teknoama ni ziada na kwamba sio lazima. Huku ndiko kuvimbiwa Asali baada ya kulamba Kwa ulafi. Katika Uchaguzi ujao, sera ya Bando za simu itakua na mashiko kuliko hizo Barabara zenu, kuliko mazingaombwe yenu ya Milioni 50 Kila Kijiji.
Kwakua Waziri amamua kuwa mkwapuaji, ni wakati wa CCM kutafakari athali za maamuzi ya waziri huyu juu ya gharama atakazo sababisha.
CCM itaanguka sababu ya Bando za MB. Amin Amin Nawaambia.