Bandugu hebu tuelimishane kuhusu umuhimu wa ku-update software kwenye simu za samsung

Bandugu hebu tuelimishane kuhusu umuhimu wa ku-update software kwenye simu za samsung

Sam
kuna updates za aina mbili kwenye simu
-security updates
-updates za matoleo toka version moja kwenda nyengine.

hizi security updates ni muhimu sana zinatoka kila mwezi, zenyewe hazibadili muonekano au feature za os, kazi yake ni kukupa ulinzi kwenye simu na kukulinda na malware na threats mpya.

updates za matoleo, mfano kutoka android 8 kwenda 8.1. hizi hukuongezea features kwenye simu na kubadili muonekano. kama alivyoelezea mdau hapo juu.

umuhimu wa ku update ni kuwa na simu salama ambayo ni ngumu kushambuliwa, yenye mambo ya kisasa na mapya. kila toleo kunakuwa na kitu kinaitwa change log, hukuonesha ni mambo mangapi mapya yameongezwa.

hasara ya ku update ni kama alivyosema mdau mwengine hapo juu inaweza haribu mambo fulani, mfano unaweza update simu isikae na chaji kama zamani,

kama simu yako ni halali kabisa umeinunua na ina warranty usiogope update simu yako mara kwa mara, likitokea tatizo samsung wenyewe watawajibika kulitengeneza.
Samahani chief, Nina simu ya oppo a57 haikubali ku-update Yani nikibonyeza kwenye system update haifunguki, shida itakua nini apo?
 
Sam

Samahani chief, Nina simu ya oppo a57 haikubali ku-update Yani nikibonyeza kwenye system update haifunguki, shida itakua nini apo?
Pengine ni simu ya mtandao fulani huko ughaibuni, hizi hazipokei updates direct toka Kampuni husika bali hupokea toka mtandao husika.
 
Pengine ni simu ya mtandao fulani huko ughaibuni, hizi hazipokei updates direct toka Kampuni husika bali hupokea toka mtandao husika.
Kwahiyo nifanyaje kupata update maana simu yangu haina security yoyote kwasasa
 
Kwahiyo nifanyaje kupata update maana simu yangu haina security yoyote kwasasa
Angalia kwanza online version ya mwisho ya simu yako na sasa hivi, kama version ni tofauti hapo ni hadi manual u flash hilo file,
 
Haiwezekani mkuu utofauti ukawa mkubwa hivyo, nenda setting kisha about Soma full model ya simu iandike hapa.
Screenshot_2024-05-21-12-02-05-82.png
 
kuna updates za aina mbili kwenye simu
-security updates
-updates za matoleo toka version moja kwenda nyengine.

hizi security updates ni muhimu sana zinatoka kila mwezi, zenyewe hazibadili muonekano au feature za os, kazi yake ni kukupa ulinzi kwenye simu na kukulinda na malware na threats mpya.

updates za matoleo, mfano kutoka android 8 kwenda 8.1. hizi hukuongezea features kwenye simu na kubadili muonekano. kama alivyoelezea mdau hapo juu.

umuhimu wa ku update ni kuwa na simu salama ambayo ni ngumu kushambuliwa, yenye mambo ya kisasa na mapya. kila toleo kunakuwa na kitu kinaitwa change log, hukuonesha ni mambo mangapi mapya yameongezwa.

hasara ya ku update ni kama alivyosema mdau mwengine hapo juu inaweza haribu mambo fulani, mfano unaweza update simu isikae na chaji kama zamani,

kama simu yako ni halali kabisa umeinunua na ina warranty usiogope update simu yako mara kwa mara, likitokea tatizo samsung wenyewe watawajibika kulitengeneza.
Mkuu Kwa bajeti ya 400k napata simu Gani nzuri mpya
 
Samahan kwabajeti ya laki3 napata simu Gani nzuri?
Mpya Samsung A15 4G yenye Helio G99.

Mtumba angalia na deals unazipata simu za around 2020 flagship ama midrange za 2021 hivi unapata kwa hio bei. Kwa Samsung Angalia S20FE ama A52s, kama unajua kucheki Aliexpress pia angalia simu kama snapdragon 778G unapata hii budget siku hizi.
 
Zote hizo za kubet mkuu, haijalishi inapotoka
mkuu samahan nje ya mada kidogo, nimeona kuna jamaa anauza iphone 15 ila anaziita copy i think ni kwasababu zina android na sio ios, vp kuhusu hizi simu mkuu?
 
mkuu samahan nje ya mada kidogo, nimeona kuna jamaa anauza iphone 15 ila anaziita copy i think ni kwasababu zina android na sio ios, vp kuhusu hizi simu mkuu?
Hazina issue, itakua na muonekano wa iphone ila hardware haitakua nzuri.
 
Back
Top Bottom