Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
kuna njia hapa lakini ni ndefu kupita maelezoIshu inakuja kwenye kuiroot hii device ambayo ni ya verizon. Nimejaribu kwa kila namna inashindakana, hapa nakwambia nimetoka kujaribu kwa kutumia Odin nayo inafail. Msaada mkuu
Samahani chief, Nina simu ya oppo a57 haikubali ku-update Yani nikibonyeza kwenye system update haifunguki, shida itakua nini apo?kuna updates za aina mbili kwenye simu
-security updates
-updates za matoleo toka version moja kwenda nyengine.
hizi security updates ni muhimu sana zinatoka kila mwezi, zenyewe hazibadili muonekano au feature za os, kazi yake ni kukupa ulinzi kwenye simu na kukulinda na malware na threats mpya.
updates za matoleo, mfano kutoka android 8 kwenda 8.1. hizi hukuongezea features kwenye simu na kubadili muonekano. kama alivyoelezea mdau hapo juu.
umuhimu wa ku update ni kuwa na simu salama ambayo ni ngumu kushambuliwa, yenye mambo ya kisasa na mapya. kila toleo kunakuwa na kitu kinaitwa change log, hukuonesha ni mambo mangapi mapya yameongezwa.
hasara ya ku update ni kama alivyosema mdau mwengine hapo juu inaweza haribu mambo fulani, mfano unaweza update simu isikae na chaji kama zamani,
kama simu yako ni halali kabisa umeinunua na ina warranty usiogope update simu yako mara kwa mara, likitokea tatizo samsung wenyewe watawajibika kulitengeneza.
Pengine ni simu ya mtandao fulani huko ughaibuni, hizi hazipokei updates direct toka Kampuni husika bali hupokea toka mtandao husika.Sam
Samahani chief, Nina simu ya oppo a57 haikubali ku-update Yani nikibonyeza kwenye system update haifunguki, shida itakua nini apo?
Kwahiyo nifanyaje kupata update maana simu yangu haina security yoyote kwasasaPengine ni simu ya mtandao fulani huko ughaibuni, hizi hazipokei updates direct toka Kampuni husika bali hupokea toka mtandao husika.
Angalia kwanza online version ya mwisho ya simu yako na sasa hivi, kama version ni tofauti hapo ni hadi manual u flash hilo file,Kwahiyo nifanyaje kupata update maana simu yangu haina security yoyote kwasasa
Imetoka android 12 yangu Bado ipo 6Angalia kwanza online version ya mwisho ya simu yako na sasa hivi, kama version ni tofauti hapo ni hadi manual u flash hilo file,
Haiwezekani mkuu utofauti ukawa mkubwa hivyo, nenda setting kisha about Soma full model ya simu iandike hapa.Imetoka android 12 yangu Bado ipo 6
Haiwezekani mkuu utofauti ukawa mkubwa hivyo, nenda setting kisha about Soma full model ya simu iandike hapa.
Hii ni A57 version ya 2016 yenye snapdragon 435 max ni hio android 6.
Mkuu Kwa bajeti ya 400k napata simu Gani nzuri mpyakuna updates za aina mbili kwenye simu
-security updates
-updates za matoleo toka version moja kwenda nyengine.
hizi security updates ni muhimu sana zinatoka kila mwezi, zenyewe hazibadili muonekano au feature za os, kazi yake ni kukupa ulinzi kwenye simu na kukulinda na malware na threats mpya.
updates za matoleo, mfano kutoka android 8 kwenda 8.1. hizi hukuongezea features kwenye simu na kubadili muonekano. kama alivyoelezea mdau hapo juu.
umuhimu wa ku update ni kuwa na simu salama ambayo ni ngumu kushambuliwa, yenye mambo ya kisasa na mapya. kila toleo kunakuwa na kitu kinaitwa change log, hukuonesha ni mambo mangapi mapya yameongezwa.
hasara ya ku update ni kama alivyosema mdau mwengine hapo juu inaweza haribu mambo fulani, mfano unaweza update simu isikae na chaji kama zamani,
kama simu yako ni halali kabisa umeinunua na ina warranty usiogope update simu yako mara kwa mara, likitokea tatizo samsung wenyewe watawajibika kulitengeneza.
Xiaomi redmi note 12, alternative ukikosa hio Samsung Galaxy A15 yenye Helio G99, sema A15 ni kama 300,000-350,000.Mkuu Kwa bajeti ya 400k napata simu Gani nzuri mpya
Samahan kwabajeti ya laki3 napata simu Gani nzuri?Hii ni A57 version ya 2016 yenye snapdragon 435 max ni hio android 6.
Mpya Samsung A15 4G yenye Helio G99.Samahan kwabajeti ya laki3 napata simu Gani nzuri?
simu used zinafaa mkuu?Hii ni A57 version ya 2016 yenye snapdragon 435 max ni hio android 6.
Simu used ni kubet mkuu, hazina uhakika 100% kupata kifaa cha maana, hasa hizi refurbished za huku kwetusimu used zinafaa mkuu?
kuna mwamba anaziuza from dubai Samsung s series humu jfSimu used ni kubet mkuu, hazina uhakika 100% kupata kifaa cha maana, hasa hizi refurbished za huku kwetu
Zote hizo za kubet mkuu, haijalishi inapotokakuna mwamba anaziuza from dubai Samsung s series humu jf
mkuu samahan nje ya mada kidogo, nimeona kuna jamaa anauza iphone 15 ila anaziita copy i think ni kwasababu zina android na sio ios, vp kuhusu hizi simu mkuu?Zote hizo za kubet mkuu, haijalishi inapotoka
Hazina issue, itakua na muonekano wa iphone ila hardware haitakua nzuri.mkuu samahan nje ya mada kidogo, nimeona kuna jamaa anauza iphone 15 ila anaziita copy i think ni kwasababu zina android na sio ios, vp kuhusu hizi simu mkuu?