Elections 2010 BANG! Wamuidhinisha JK kwa Urais...Ikoje Hii?

Elections 2010 BANG! Wamuidhinisha JK kwa Urais...Ikoje Hii?

Huku ni kujikomba,na kujidhalilisha kwa eti tu kwa matarajio ya mapato ya aibu huku nafsini mwao wakisutwa vibaya.Ni unafiki tu,pum**vu sana.
 
Editorial endorsement is quite proper katika nchi zilizoendelea kidemokrasia lakini hapa kwetu ni vigumu kulichanganua kwa sababu uwanja wake hauko sawa sawa bila ya upendeleo......................
 
Editorial endorsement is quite proper katika nchi zilizoendelea kidemokrasia lakini hapa kwetu ni vigumu kulichanganua kwa sababu uwanja wake hauko sawa sawa bila ya upendeleo......................

Haswaaa!
Sometimes maoni ya wahariri yanaweza kuwa ni chaguo lao, kama ilivyo kwa gazeti la Mtanzania, kwamba wao hawana mtu mwingine wa kumuunga mkono zaidi ya mgombea wa sisiemu.
 
hakuna tatizo kwa Bang kuipendekeza ccm kwenye gazeti lake. Nafikiri ingekuwa wenye media wote wanafanya kama hivyo ingekuwa kheri sana, ingeondoa ule unafikiki unaofanywa na wengi.

Blog Kulikoni Ughaibiuni ilifanya kumuunga mkono wazi Slaa na wengi walipongeza, nashangaa kwa nini kwa Bang kufanya hivyo imekuwa ni 'jambo lisilo faa'
 
hakuna tatizo kwa Bang kuipendekeza ccm kwenye gazeti lake. Nafikiri ingekuwa wenye media wote wanafanya kama hivyo ingekuwa kheri sana, ingeondoa ule unafikiki unaofanywa na wengi.

Blog Kulikoni Ughaibiuni ilifanya kumuunga mkono wazi Slaa na wengi walipongeza, nashangaa kwa nini kwa Bang kufanya hivyo imekuwa ni 'jambo lisilo faa'

Sidahni kama bloggs,twitters and the like vinatambuliwa kwa sheria zetu...gazeti sharti lisajiliwe kisheria...kwa hiyo usilinganishe blogg na gazeti
 
Ni sawa kabisa wanaweza kumpitisha nasikia viongozi wa gazeti hilo walipewa tenda ya kukusanya michango kwa niaba ya CCm Irene Kiwia na Imelda walikuwa ndio planners kwa hiyo kuna mantiki na maslahi fulani
 
Sidahni kama bloggs,twitters and the like vinatambuliwa kwa sheria zetu...gazeti sharti lisajiliwe kisheria...kwa hiyo usilinganishe blogg na gazeti

kuna sheria inayokataza vyombo vya habari vilivyosajiliwa kumpendekeza mgombea wamtakae?

(nijuavyo nje ya tanzania, sheria zinaruhusu kwa chombo kuwa wazi)
 
wala msiogope hawa BANG wanaishia hapahapa town ambapo watu ndo kabisaaaa hawadanganyiki....watu wote wenye uwezo wa kusoma BANG ni watu wenye uelewa wa kutosha so dont worry hhhahhahahahha
 
kuna sheria inayokataza vyombo vya habari vilivyosajiliwa kumpendekeza mgombea wamtakae?

(nijuavyo nje ya tanzania, sheria zinaruhusu kwa chombo kuwa wazi)

Naomba muulize Tido wa TBC kwa nini aliondoa tangazo la policy forum.....na kwa nini DAILY NEWS came under fire for saying SLAA will never be the 5th President of old dear URT
 
Bange+habari leo+Jambo Tanzania*Tazama/Uhuru na mzalendo +Daily news +Habari leo................................wote ni wakowards wa ccm , na mafirauni wenzao.
 
Naomba muulize Tido wa TBC kwa nini aliondoa tangazo la policy forum.....na kwa nini DAILY NEWS came under fire for saying SLAA will never be the 5th President of old dear URT

Sasa naona unataka kulinganisha vyombo vya umma na vile vya binafsi.

kwa vyombo vya umma it goes without saying kuwa haviruhusiwi kisheria kupendelea upande mmoja.

isitoshe, kusema 'Slaa hatashinda' si sawa na kum endorse 'kikwete' (au mgombea mwengine)
 
Wasanii wanamuunga mkono JK kwa vile naye ni msanii, sasa kama wavuta bangi na waandishi vilaza wana muunga mkono JK basi ndiyo vile, mimi simo!!!!!!!!!!!
 
Sasa naona unataka kulinganisha vyombo vya umma na vile vya binafsi.

kwa vyombo vya umma it goes without saying kuwa haviruhusiwi kisheria kupendelea upande mmoja.

isitoshe, kusema 'Slaa hatashinda' si sawa na kum endorse 'kikwete' (au mgombea mwengine)

Nashukuru kwa mchango wako japokuwa tofauti na mtazamo wangu....
 
Article 18 of the Constitution guarantees every Tanzanian the right to freedom of opinion and expression. However, the Newspaper Act of 1976 allows authorities within the government-including the president-the power to prohibit publications that might be deemed to not be in the nation's best interest. Additionally, the 1993 Broadcasting Services Act provides that private broadcasters are only allowed to send their signals to 25 percent of the country.

Hapo ndio MWANANCHI na MWANA HALISI wanapotishiwa,ila hawa BANG! Aaa hawakoseagi...according to Gaijin
 
Back
Top Bottom