Ndengaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,831
- 14,259
Kutokana na Ugumu wa Maisha ni muda sasa serikali iangalie namna mbadala ya kuwasaidia wananchi wake kujikwamu kimaisha!
Soko la bangi dawa lonakadiriwa kufikia USD Billion 344 kwa mwaka ( Zaidi ya Mara Tano ya uchumi mzima wa Tanzania )
Kilimo hichi kinastawi sana hapa Tanzia bila ya kutumia nguvu na gharama kubwa na kwakua bado kinapingwa kwa sasa sioni tatizo kutolewa special licence kwa Makampuni ambayo yatakua monitored na serikali kuhakikisha zinakuwa exported kwenda kwenye nchi ambazo zimeruhusiwa.
Hivyo hivyo kwa Miraa, miraa ilimwe kwaajili ya export kwenda nchi kama Kenya na Somalia.
Tunakwama wapi ?
Soko la bangi dawa lonakadiriwa kufikia USD Billion 344 kwa mwaka ( Zaidi ya Mara Tano ya uchumi mzima wa Tanzania )
Kilimo hichi kinastawi sana hapa Tanzia bila ya kutumia nguvu na gharama kubwa na kwakua bado kinapingwa kwa sasa sioni tatizo kutolewa special licence kwa Makampuni ambayo yatakua monitored na serikali kuhakikisha zinakuwa exported kwenda kwenye nchi ambazo zimeruhusiwa.
Hivyo hivyo kwa Miraa, miraa ilimwe kwaajili ya export kwenda nchi kama Kenya na Somalia.
Tunakwama wapi ?