Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Sijaona any criminality inayotokana na uvutaji wa bangi isipokua negative perception tuliyojijengea miaka mingi kuwa bangi sio nzuri.
Hili limenifanya nione kua bangi namsaada mkubwa ukiondoa ubaya unaosemwa juu yake.
Hivi majuzi nilibahatika kukukaa na rafiki yangu moja kwa wiki kama mbili hivi, huyu jamaa, kwa bahati mbaya aliwahi kupata ajali na akaumia sana maeneo ya kichwa, alifanyiwa operation kubwa tu, kwahiyo, kuna wakati anakua anasikia maumivu sana ya kichwa , wakati mwingine anashindwa pata usingizi, hivyo ili kupunguza maumivu , huwa anavuta bangi inampa uwezo wa kulala, kidogo.
Kama pombe yenye madhara lukuki imekubalika kwanini si bangi.
Hili limenifanya nione kua bangi namsaada mkubwa ukiondoa ubaya unaosemwa juu yake.
Hivi majuzi nilibahatika kukukaa na rafiki yangu moja kwa wiki kama mbili hivi, huyu jamaa, kwa bahati mbaya aliwahi kupata ajali na akaumia sana maeneo ya kichwa, alifanyiwa operation kubwa tu, kwahiyo, kuna wakati anakua anasikia maumivu sana ya kichwa , wakati mwingine anashindwa pata usingizi, hivyo ili kupunguza maumivu , huwa anavuta bangi inampa uwezo wa kulala, kidogo.
Kama pombe yenye madhara lukuki imekubalika kwanini si bangi.