Bangi kutoka Tanzania yatiwa kiberiti Kenya

Bangi kutoka Tanzania yatiwa kiberiti Kenya

Kuna kaukweli hapa ila hayo mavitu ni balaa, kwenu huko mnayatumia sana nakumbuka hata mkulu wenu aliwashauri mawaziri wawe wanatumia kidogo, ila muwe makini la sivyo mtakua nchi ya vichaa.
Unakumbuka huu utafiti
Ushasahau kuwa kwenu mnatambulika kimataifa kuwa na tatizo la mental illness ?

 
Biashara baina ya mataifa haifuati basic economic principals, kila taifa huhakikisha watu wake wa ndani wameridhika kwanza kabla kuachia bidhaa iuzwe nje. Kumbuka hata mahindi huwa hamuachii yauzwe hivi hivi, lazima mhakikishe wale walaji wa viwavi Dodoma wamefikiwa na chakula cha kutosha, kuanzia hapo ndio mnatangaza kuuza nje.


Nani kakuambia Bangi ni chakula???, Bangi imo katika kundi la madawa (drugs)--- kinachoangaliwa ni wapi kuna wagonjwa wengi ndipo huko dawa hupelekwa, huoni hadi nyinyi wenyewe mnaifuata hadi Ethiopia!!

Hii inaonyesha Kenya ndipo kuna "wagonjwa" wengi wanaohita dawa (Bangi), na mahitaji ni makubwa huko.

Licha ya uvutaji kwa wingi huko, pia nimesikia kuna viwanda vya uchakataji wa bangi vinavyotoa ajira kwa vijana huko, na wote wanaofanya kazi humo sharti ni wawe wavutaji.

By hooks or crooks, We are going to maintain the market.
 
Nani kakuambia Bangi ni chakula???, Bangi imo katika kundi la madawa (drugs)--- kinachoangaliwa ni wapi kuna wagonjwa wengi ndipo huko dawa hupelekwa, huoni hadi nyinyi wenyewe mnaifuata hadi Ethiopia!!

Hii inaonyesha Kenya ndipo kuna "wagonjwa" wengi wanaohita dawa (Bangi), na mahitaji ni makubwa huko.

Licha ya uvutaji kwa wingi huko, pia nimesikia kuna viwanda vya uchakataji wa bangi vinavyotoa ajira kwa vijana huko, na wote wanaofanya kazi humo sharti ni wawe wavutaji.

By hooks or crooks, We are going to maintain the market.

Tanzania inaongoza kwa matumizi ya bangi, sio taarifa zangu mimi...soma hapa https://www.voaswahili.com/a/tanzania-inaongoza-eac-katika-matumizi-ya-bangi-ripoti/4934244.html
 
Afadhali ya bangi kuliko miraaa,
Mbona wanawake wenu hulalamika kuhusu waume zao kula miraa?
Hadi wengine kukimbia waume zao.

Kama unafahamu kingereza au katafute mtu asome na akutafsirie uchunguzi huu wa kitaalam kuhusu wanaume na miraa

Wanawake wenu ndio hukodi wanaume kutoka huku maana mumeshindwa nyie


Pia wanawake wenu wengi wanatumia ugoro ili kuondoa hamu maana mumeshindwa
 
Kuliko kuichoma si bora wangeirudisha tuivute huku bongo.

Kwani huyo mshikaji wa hapo Ikulu Uhuru, sikuizi kaacha kupiga cha Arusha.
 
Wanawake zenu huandamana kutokana na nyie wanaume wa kenya kushindwa kuwaridhisha [emoji23][emoji23][emoji23]

Kama unafahamu kingereza au katafute mtu asome na akutafsirie uchunguzi huu wa kitaalam kuhusu wanaume na miraa

Wanawake wenu ndio hukodi wanaume kutoka huku maana mumeshindwa nyie


Pia wanawake wenu wengi wanatumia ugoro ili kuondoa hamu maana mumeshindwa
 
Nyingine hii hapa [emoji23][emoji23][emoji23]


Kama unafahamu kingereza au katafute mtu asome na akutafsirie uchunguzi huu wa kitaalam kuhusu wanaume na miraa

Wanawake wenu ndio hukodi wanaume kutoka huku maana mumeshindwa nyie


Pia wanawake wenu wengi wanatumia ugoro ili kuondoa hamu maana mumeshindwa
 
Waache walipize na wao maana hata kwetu tulichoma vifaranga vyao
 
Wakenya wanapenda sana bangi, hapo wameona wachome kinafiki lakini wananchi wao wengi walikua maeneo ya jirani ili moshi uwafikiee
[emoji23][emoji23][emoji23]

Walichoma huku roho inawauma.
 
Hivi majirani lini mtakuja kwenye nchi hii na kufanya uwekezaji wa kueleweka, mara bangi mara omba omba, hivi haya mambo mbona hamyafanyi kwa majirani zenu wengine kama vile Malawi, Zambia, Uganda na kwengineko.
----------------------



Bhang worth a street value of Ksh.15.2 million was on Monday destroyed by Migori County security officers under the watch of court officials.

The 1,524 kilograms of bhang, which had been presented before court several years ago as exhibit, were burnt down at Lichota grounds in Suna West Sub-county.

Migori County Police Commander said the marijuana was presented before court as exhibit three years ago.

The police boss noted that much of the bhang nabbed in Migori is mostly on transit from Tanzania to other parts of the country.

He however reiterated commitment to fight bhang trafficking in the area, appealing on the locals to support the efforts by giving intelligence to security officers.


Sisi tunachoma VIFARANGA nyie mnachoma BANGI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom