Mzuzu bakora
Member
- Feb 10, 2016
- 10
- 6
Miss sana hizi vitu, hivi hapa Dar wapi zinapatikana?Hata bongo zipo. Tena huku wana mpaka queen cake za weed.
[emoji857][emoji857][emoji857][emoji857][emoji857][emoji857]Siku ya kwanza kuvuta bangi nilijikuta najitambulisha mbele ya wazazi wangu
Njoo mtaan kwetu Kuna kiwanjs mafeteva bodaboda wanauza ns kuvuta hadharani mchana kweupe Tena sio mbali Sana na kituo Cha polisi
Ndio nipo zenjiBabu uko zenji? dah yaani hadi nimezitamani. Kama utapata nafasi au kuzipata tushtuane ndugu.
Sent using Sattelite c1175b
Siku shauri kuvuta ni mbaya kwa afya yakoMe natamani Siku moja Nijaribu kuvuta hii kitu nijue inafananaje....
Safi kabisa kwa kuchagua dini ya haki ya wavuta bangiBangi jaman mmea wa ajabu sana nilijalibu kuivuta kiukweli kunavitu nimevigundua kumbe kwa akili ya kawaida huwezi kuvijua kunavitu kabisa inakuonesha ambavyo ukiwa ktk hali ya kawaida huwezi kuvijua kwa uelewa wetu wa kawaida huwezi jua sema inakufanya kujitenga na nimegundua kumbe ndio maana inazuiliwa kutumiwa coz unakua muelewa automatically afu inakuletea fikra + sema inahitaji brain ya kustahimili mikikimikiki yake
Siku shauri kuvuta ni mbaya kwa afya yako
1. Uchizi
2. TB
3. Kutengwa na kudharaulika na jamii
Sent using Jamii Forums mobile app
YeahHaaahaaa sunajua kabla hujaivuta tayari akili inatambua kua haitakiwi au ni halam sasa hata ukisha ivuta inakukontrol sana ktk hilo wale wanao data inatakiwa aiache haimfai kwanza bange inahitaji uwe na lishe nzuri asa watu wengi wanao data unakuta hawana lishe asa uvute bangi afu lishe hakuna unatarajia nn, afu inahiyaji uivute ukiwa umetulia haupo kwenye msongamano
utakunya ulimi ww[emoji134][emoji134][emoji134]Me natamani Siku moja Nijaribu kuvuta hii kitu nijue inafananaje....