Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hmm! Mungu anakuona...Mti msafi..... Nashuku Moses alivuta moshi ndo akaona burning bush!
Kenya hii si Hatari kama huku Tanzania
Bangi haina uzito mkubwa kama Tanzania
Pongezi kwa hao walio wakamata
lakini nijuavyo mie
ukiona hao wamekamatwa ujue kuna matani na matani yamepita
It's not her even then name says it allHapa Kazi Tu
Nayo Ni kazi Kama Kazi Nyingine
Pigeni kazi Vijana
Kichwa cha Mwendawazimu
Acha wajifunze Kunyoa!
Kwa hali iliyopo sasa,
Bora vijana wavute bangi,
Kuliko waamue KUIBADILI HALI
Just Timing!
Hayo matani yanapita maana mnakuza huko Tanzania, halafu badala ya kupigana na walaguzi mnaishia vioja na vituko. Mliishia kutaja taja watu kiholela, mara Gwajima, mara Wema mara Mbowe, huku mkivamia Clouds media halafu waziri Nape kuhoji mnamtupia nje kwa bastola.
Vita dhidi ya madawa ya kulenya uhitaji mchakato uliopangwa kimikakati, sio mihemko ya kihivyo.
Yote. You do smoke?Bhang au Weed/Cannabis?
Sure, hata mkuu wa nchi yao ni mtumiaji sana wa huu mmea.Kenya ni wateja wazuri wa hii kitu
Watz wanazalisha hii kitu sababu kuna merket ya uhakika huko Kenya.Hayo matani yanapita maana mnakuza huko Tanzania, halafu badala ya kupigana na walaguzi mnaishia vioja na vituko. Mliishia kutaja taja watu kiholela, mara Gwajima, mara Wema mara Mbowe, huku mkivamia Clouds media halafu waziri Nape kuhoji mnamtupia nje kwa bastola.
Vita dhidi ya madawa ya kulenya uhitaji mchakato uliopangwa kimikakati, sio mihemko ya kihivyo.
Biashara hii inashamiri kinoma kuelekea uchaguzi! Asikuambie mtu ile mihemuko ya mamluki wa political rallies hukokewa na hii kitu kwa sanaWatz wanazalisha hii kitu sababu kuna merket ya uhakika huko Kenya.
Wanatumia Street priceHivi thamani ya Bhangi inapatikana wapi?
Ukivuta tu... Makadirio ya kiasi cha pesa hayaleti thamani ya GANJA hata Siku mojaHivi thamani ya Bhangi inapatikana wapi?
Yote. You do smoke?
Those ancient jews must've bn taking more powerful stuff than that-o! Magic mushrooms, opium; afterwards they were seeing wonders!Mti msafi..... Nashuku Moses alivuta moshi ndo akaona burning bush!