Bangi...

Bangi...

Hoyeeee.
Aisee ni tamu sana. Haina hangover, pia haina harufu mbaya kama sigara. I dont know about others but mie nikipiga hii makitu nikiwa bwax inakata naanza upya. Umenikumbusha mbali.
Ngoja nikurudi Dar nitaangalia kammea kangu ka bange bado kapo ama baba toto amekabamba.
 
Heeee umechelewa raha aisee ingawa bora uchelewe ila sio kucha kabisa,sifa za hii kitu ni nyingi bali daka hizi chache:
1.ukitumia unaondokana na woga usio na maana hivyo kujiamini zaidi kunakuwepo
2.ukitumia kila mtu unamuona mdogo wa kiumbo na kiumri pia
3.ukitumia mara nyingi unapenda ugomvi.
Nitaweka nyingine, karibu chamani hujachelewa anza sasa wakati ni huuu...Lol!
 
Nipo zangu hapa kijiweni napiga pafu la 16. Hii kitu imetulia sana, nikiingia hadi wana appriciate. charminglady bugia tu!
 
Last edited by a moderator:
Hoyeeee.
Aisee ni tamu sana. Haina hangover, pia haina harufu mbaya kama sigara. I dont know about others but mie nikipiga hii makitu nikiwa bwax inakata naanza upya. Umenikumbusha mbali.
Ngoja nikurudi Dar nitaangalia kammea kangu ka bange bado kapo ama baba toto amekabamba.

We si ulisema umeacha wee? Kweli once a con...
 
Habari ya long weekeend wadau...

Naulisa hiviiii.... Bangi ina madhara gani? I wish siku moja niijaribu walau pafu kadhaa. Pia nasikia haiumizi mapafu kama sigara....

Asante kwa mchango wako....

Bangi hoyeee....... :bange: :bange:

C.C. Karucee, sakapal

Ganja ganja ganja ganja farmer... if you wanna call it call mariyuana,.... if you wanna call it call it sensiminia, if you wanna call it call indeeca... deep in da di earth me put di ganja, babylon come......!!! yeah baby find I n I gonna getcha some herb... -
copy: Karucee..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom