Bangili za kimasai

Bangili za kimasai

nico winto

Member
Joined
Jul 2, 2017
Posts
34
Reaction score
27
Hivi hizi bangili za kimasai wanazosemaga zina uwezo wa kukulinda na hatari au ukapita mahali popote bila kuguswa Kuna ukweli wowote hapo. Nasikia hata madereva wanapendaga sana kuzivaa
 
Hivi hizi bangili za kimasai wanazosemaga zina uwezo wa kukulinda na hatari au ukapita mahali popote bila kuguswa Kuna ukweli wowote hapo. Nasikia hata madereva wanapendaga sana kuzivaa
Vitu vingine ni vizuri kujilipua kimya kimya tu
 
Kuna wazee wa kimasai ukiwapelekea wanazinenea na wakikurudishia inafanya hivyo.

Hata watoto wao huko mbugani inawasaidia sana kujikinga na wanyama wakali kwasababu wengi wao hawana kinga sijui ya kuombewa au imani katika dini yoyote.
 
Kuna wazee wa kimasai ukiwapelekea wanazinenea na wakikurudishia inafanya hivyo.

Hata watoto wao huko mbugani inawasaidia sana kujikinga na wanyama wakali kwasababu wengi wao hawana kinga sijui ya kuombewa au imani katika dini yoyote.
[/Q NI mpaka wazinenee. Kwa hiyo ukinunua unaenda kwa wazee wakimasai wakaongezee nguvu. Kwa hiyo nikienda manyara porini mambo fresh.
 
Kwa hiyo NI mpaka wazinenee la sivyo butu na hao wazee wakimasai wanapatikana wapi?
 
Babu na wajomba zangu walikua wanapiga sana izo mbanga asee ila saiv design kama wameacha,ngoja ntwaauliza wapo Longido na Ngorongoro,
 
...
 

Attachments

  • avatar2.jpg
    avatar2.jpg
    40.1 KB · Views: 28
  • avatar2.jpg
    avatar2.jpg
    40.1 KB · Views: 26
achaaa ushirikinaaa.....mtegemee mungu tu
 
Back
Top Bottom