Elections 2010 Bango hili la kampeni za uchaguzi la CCM silielewi

KAma Rais ateteaye Nafasi yake, hakkuwa na sababu ya Mabango yote haya, Huu ni Woga Mkuu, Ukisikiliza kampeni zake Hana Point za msingi, Ki ukweli TZ Tunadanganyana sana,

Napendekeza Members humu, Kujikomboe kwa kila mmoja kutafuta familia 5 za ku share nao harakati za ukombozi, Hakika Tukipata Viongozi bora tutapiga hatua, Sadly Juzi wana clouds) wanadai waTZ tumezidi kuzungumzia uchaguzi now eti (mtangazaji) anadai now its 2much tuzungumze jingine, (mytake namuona kama asiejua alichokiongea); Wapenda maendeleo TUJITAHIDI KUHAMASISHANA na tupige Kura, Isije tukasema wameiba wakati ................................... Hatukutaka kuwa part ya mabadiliko......
 
Jamani mie nimechoshwa kabisaaaa,kuna mtu aliuliza anataka kuhama nchi ahamie wapi? nami natamani hivyo,lakini nimetafakari kwa kina na kugundua kuwa hata siku ya mwisho mbele za Mwenye haki ataniuliza nilifanya nini kuokao nchi yangu iliyokuwa inazamia baharini kwenye kina kirefu.

kwa kweli inasikitisha sna kuona wa tz wengi wanakufa na umasikini huku mabango ya mkubwa huyu yakiwa yamepamba njia zote kuliko hata ambavyo ukumbi wa harusi ungepambwa.Hivi kweli hap dar ni nani asiyemjua raisi wa nchi hii?

Nimebahatika kutembelea maeneo kadhaa ya vijiji vilivyoko mbali kabisa (very remote areas) hapa nchini,machozi yalinitoka wandugu,nilihisi kama niko nchi nyingine kabisa sio Tanzania.Pamoja na kupewa tuzo mbalimbali na UN HALI HALISI YA MAISHA YA WATZ HASA VIJIJINI INATISNAAAAAAAAA


Huu si wakati wa kukandamizwa tena,YATOSHA SASA. sisi ndio wa kuleta mabadiliko,tusifanye makosa tena enough is enough.heeeeee jamani!!!!!
 
Mimi mara kadhaa nimeshawishika kuyang'oa mabango yenye sura ya huyo mtu, hasa ninapokuwa nimelewa.
 
ndiyo kabisa, wife wake yupo mikoani, mtoto naye mikoani baba nae mikoani.....na akimaliza mwaka 2015...usishangae rizy nae kugombea urais....kisha mama nae atafuata 2025....

Teheteheteheteheh!!!! mh you mean hata kama hawana vigezo?? Hii kali!!! halafu nahisi watz watawapa kura maana bongo zetu majority zimelala
 
Nakumbuka mara ya kwanza kuliona bango hili pale karibu na Stanbic nilijiuliza lina maana gani!!! Baada ya kuona mind yangu hainipi jibu ikabidi niulize kwa watu wengine, cha kushangaza kila mtu alionyesha kulishangaa bango hili. Swali langu ni... Hivi walioandaa hawakuwa na haja ya kuoanisha issue (kampeni)? Hili bango na mengine yamejaa upupu hayana mantiki na hayaendani na utumishi wake kwa umma.
I think ndo maana Rais Kikwete anaogopa mdahalo maana anaweza kuongea utumbo kama yalivyo mabango yake all over the country.
Then shame kwa washauri wake maana wanampeleka kusiko kabisaaaa.. na nona hawamtakii mema. Lol!
 
wengine tupo mikindani

walioko kwenye mkoa wa shida kuliko yote tanzania,atuwekee picha hiyo
 
Haya mabango ni tooo much, kuna moja nimelikuta A-town pale Sanawari kwenye trafic light ni kubwa na
sura yake imetoka kama vile imechakachuliwa au alizidisha mapoudaaa !!!
 
...Ulaji mtu kashalamba mabilioni yake kapotea...
...Ni vizuri ili tumkumbuke vyema 31-10-10 tusimpe kura zetu...
 

Clouds!!!! Shame on them,, wanajiita people's station kumbe hamna lolote nao njaa tu zinawasumbua.. I dont want to hear about them.. Wamepewa kadeal kadogo wanakubali kufunika ukweli wa mambo na kujitia wana mapenzi na CCM ilihali wanajua ni ufisadi umejaa kwa hiki chama kizee! Wamewezeshwa kufungua CLOUDS TV basi midomo fyuuu!! Watoto wao na jamaa zao wanataabika na umaskini uliasababishwa kwa kiwango kikubwa na ufisadi ndani ya CCM wao wanaona sawa tu ilimradi wamepata chochote.. tuwazomeee haoooooooooo!!!:eek2:
 
Haya mabango ni tooo much, kuna moja nimelikuta A-town pale Sanawari kwenye trafic light ni kubwa na
sura yake imetoka kama vile imechakachuliwa au alizidisha mapoudaaa !!!

Hahahaha,, sina mbavu... :smile-big:
 
Hizi ni dalili za unyonge na kutoajiamini. Haiwezekani rais kwa kipindi cha miaka mitano asiamini kama hata wakazi eneo ilipo ikulu na vyombo vyote vya habari eti hawamfahamu rais wao na kwamba anataka tena...kiasi cha kurundikiwa mipicha isiyokuwa hata maana kila kona. Ingekuwaje basi sura ya nchi hii na hasa DSM kama kila mgombea urais angekuwa na mipicha cjui mibango ya mfano wake. Achilia mbali uchafu, ni gharama kiasi gani zimetumika kwa kazi hii ambayo kwa maoni yangu haina tija? Je fedha hizi, si afadhali zingeanza kutumika kununua walau hizo bajaji kama kweli zinahitajika kuhudumia wajawazito wetu!!!!
 
Nilifikiri mabango haya wataweka CHADEMA, CUF na wengine...sasa nyie Tena mnaodai kuwa ni watawala wa daima, hofu ya nini????? Kweli mwaka huu MUNGU amejibu maOMBI yetu
 
Mengine hayana mvuto, wala meseji, mengine yamerundikwa sehemu moja kama pale mwenge kwenye junction yapo matatu kwa wakati mmoja( sasa macho mawili, mabango kibao sehemu moja, picha moja) huku mmoja sijui linamuonyesha akiongea/akisalimiana na kijana mwenye rasts....haya ujumbe, mengine ni picha za IKULU tunayoiendesha kwa kodi zetu......madaraka bwana, hadi unajisahau.
 
na mimi leo nimetoka bushi nikafika hapa dar na kukuta hayo mabango
kule kwetu wanamjua dk slaa tu

ccm hawajiamini!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…