Bango la Anwani za Makazi likiwa limekosewa

Kijani ndio wanapenda watanzania wote wawe na uandishi wa aina hiyo.

Hii nchi imetiwa unajisi na kijani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwani mhamasishaji hakuliona hili?
Alipashwa kuacha halmashauri zifanye kazi
Kila mtaa wangependekeza majina yangehakikiwa ndipo yapelekwe kwa halmashauri kwa kutumia wataalamu aka wenye Elimu ya kweli kuandika haya
Huyu aliyeandika sijui kama shule kasoma? Tenda za wahamasishaji matokeo ndio hayo

Elimu za wahamasishaji ni kiwango gani
Huwa sielewi mwenyewe huyu alisoma wapi ana Elimu gani tuanzie hapa...
 
Nape anatakiwa akunwe , apapaswe apulizwe ufuuuu au aparuriwe
 
Ndio shida ya kupeana kazi kimazoea Bila shaka aliyeandika hapo ni mtoto wa mwenyekiti wa serikali ya mtaa
 
zoezi zito na muhimu kama hili linakimbizwa kimbizwa bila ya uratibu kama vile mbio za Mwenge

mtu anafika anauliza Mmiliki wa hii nyumba nani, unamtajia jina, anakuomba copy ya kitambulisho cha NIDA huyoooo kamaliza a aondoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…