Baniani mbaya, kiatu chake dawa: Mmezuia Twitter huku na nyie mnaitumia kufikisha ujumbe wenu kwa jamii

Baniani mbaya, kiatu chake dawa: Mmezuia Twitter huku na nyie mnaitumia kufikisha ujumbe wenu kwa jamii

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Hawa mabwana mpaka sasa wameubana mtandao wa Twitter, ila cha ajabu wao wenyewe ni watumiaji wazuri wa huu mtandao kitu ambacho kinatushangaza sana. Kama twitter ina watumiaji mnaowaona ni hatari au hawafai, kwanini basi na nyinyi mnaendelea kuutumia huo mtandao baada ya kuubana?Tuwaelewje au ndio mnatimiza ule msemo: "Baniani mbaya,kiatu chake dawa"?

Mmekosa maarifa nyie watu na hamna mnachokisimamia!

Pathetic!
 
CCM hawajawahi kufanya maamuzi yenye kuhitaji akili nyingi.
 
Moja ya sifa kubwa ya utawala wa kidikteta ni kuminya uhuru wa habari na kujieleza, kwa hiyo hamna cha ajabu hapo.
 
Hawa mabwana mpaka sasa wameubana mtandao wa Twitter, ila cha ajabu wao wenyewe ni watumiaji wazuri wa huu mtandao kitu ambacho kinatushangaza sana. Kama twitter ina watumiaji mnaowaona ni hatari au hawafai, kwanini basi na nyinyi mnaendelea kuutumia huo mtandao baada ya kuubana?Tuwaelewje au ndio mnatimiza ule msemo: "Baniani mbaya,kiatu chake dawa"?

Mmekosa maarifa nyie watu na hamna mnachokisimamia!

Pathetic!
Wanamuogopa kigogo wa Twitter ila anayfikia kwa facebook
 
Back
Top Bottom