ABUBAKARY Barnabas
Member
- Nov 14, 2023
- 71
- 53
Habari wanajamii,
Naomba kuuliza jambo kuna mtu amekutwa na changamoto, amepoteza kadi yake ya bank aliye tumia wakati wa maombi ya mkopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kisha kwenye kusajiri akatumia kadi nyingine ambayo yanaendana majina pamoja na bank na kadi ya mwanzo.
Je haitaleta shida kwenye boom, Natanguliza shukurani kwenu
Naomba kuuliza jambo kuna mtu amekutwa na changamoto, amepoteza kadi yake ya bank aliye tumia wakati wa maombi ya mkopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kisha kwenye kusajiri akatumia kadi nyingine ambayo yanaendana majina pamoja na bank na kadi ya mwanzo.
Je haitaleta shida kwenye boom, Natanguliza shukurani kwenu