Bank gani naweza kufungua account na kupata Visa au Master Card siku hiyo hiyo

FNB unapata kila kitu hapohapo..
Mkuu Bavaria:

1. Kwa mfano mwananchi anaishi mkoa ambao hakuna huduma za bank ya FNB , atapataje kuwithdraw / deposit pesa pale ahitajipo?

2. Nimekuona kule kwenye uzi wa forex: Ontario akashauri kufungua account FNB lakini je unapofungua account FNB itakuwa inatumikaje pale unapotumia matumizi ya TSH na Dollar?
 

Unatumia ATM yeyote.

Sasa hivi wanafungua matawi mikoani..
 
Nenda Barclay's,huna haja ya kuwa na passport size,nenda na kitambulisho tu unafunguliwa account hapohapo na unapewa VISA ATM card papo hapo,na kizuri zaidi utaweza ku deposit pesa zako kupitia ATM zao,hakuna gharama za kugungua account mkuu
Kianzio bei gani?
 
Nenda equitybank.. You only need kitambulisho chako kama lesen, au k-cha kura, na pesa 10000 hauitaji mapicha, wala mabarua ya mwenyekiti... Hakuna monthly charges,,, withdraw charges ni 500 kwa ATM na 1000 kwa kaunta...
Mkuu ahsante aises nimeamini kweli equity wapo njema imenichukua dak 33 tu kufanya yoote haya leo na kupata kadi VISA asante mleta uzi umenisaidia nami pia.
 
CRDB
Equity
Barclays
FNB
NMB
BancABC
NBC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…