Kwani Barclays zipo ngap, mm nimeenda leo kufungua US dollar acc wakaniagiza kwa mtendaji wa mtaa. Pia, kadi hawatoi siku hiyo, mbali na hilo makato ya mwez ni makubwaNenda Barclay's,huna haja ya kuwa na passport size,nenda na kitambulisho tu unafunguliwa account hapohapo na unapewa VISA ATM card papo hapo,na kizuri zaidi utaweza ku deposit pesa zako kupitia ATM zao,hakuna gharama za kugungua account mkuu
Dollar account kidogo ina mchakato ili kuzuia wimbi la utakatishaji wa pesa za kigeni,na umeambiwa hivo coz ni wewe ni new to bank customer ila kwa existing hyo dollar account haina hizo proceduresKwani Barclays zipo ngap, mm nimeenda leo kufungua US dollar acc wakaniagiza kwa mtendaji wa mtaa. Pia, kadi hawatoi siku hiyo, mbali na hilo makato ya mwez ni makubwa
Kwa kenya ndo wanatoa mastar cardNadhani Hawana mkuu
Iyo card unaweza kuiturn nyuma tuione na vizurEquity bank hakuna longo longo unachohitaji ni kitambulisho rasmi tu gharama ya kadi ni Tsh 10000
Equity wana mobile bankingEquity bank ndio suluhisho pekee, wanaenda na wakati. Hakuna mlolongo wa kubeba picha, sijui barua ya nini sijui, wao ukiwa na kitambulisho halali tu basi. Picha wanakupiga wao na unapewa VISA CARD yako siku hiyohiyo na kuanza kutumia huduma zote za online transactions. Na makato yao ni madogo ukilinganisha na bank zingine.
bank nyingi wazinguzi crdb ndo wanaongoza kwa usumbufu unatumiwa cord halafu ukiingiza zinagoma akaunt inafungwaNaomba msaada ni Bank gani naweza kufungua account na kupata Visa au Master Card siku hiyo hiyo maana na uhitaji nayo mapema sana
Msaada wenu wakuu...
Shukurani
Hata mm najua hivyo kwa Nbc ,khs crdb sina hakika sana.CRDB na wao wanatoa card siku hiyohiyo siku hizi? NBC wanatoa same day.
Unapewa muda huo huoCRDB na wao wanatoa card siku hiyohiyo siku hizi? NBC wanatoa same day.