1.CRDB BANK PLC or
2. NMB PLC
Kulingana na sbb zako na ndio msing wa kila mwenye ufahamu ni lazima uzingatie hzo sbb kabla hujafungua account ktk bank fulan. ni matarajio yangu unazungumzia ufunguaji wa account wenye sifa za Saving account. bank hzo hapo juu zitakupa haya
1. kianzio cha TZS 20,000
2.Makato yasiozid TZS 2000 kwa mwezi
3. Zimeenea nchi nzima na ATMs kibao
4.Mikopo isiyo na masharti magum sana
5. Moderate Customer CARE at least
6. Kua mzalendo
kwa ziada visit nearby above bank branch.