Ukiona unaza kuumia na hzo processing charges ktk mikopo ujue tu....hustahili huo mkopo sema basi tu,
Mikopo ya bank sio kwaajili ya kutatua matatizo yako......ile ni kwajili ya wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa,mtu anaomba mkopo wa Mil100 na apo apo anahonga mil 1 ili kuharakishiwa huo mkopo.....