Ni kweli mkuu mbona mpaka sasa hatujaona mrejesho wao? Hawajatangaza chochote tena kama kuna walio itwa kwenye usahili au interview hamnamawazo ya kukata tamaa na story za vijiweni.kila nafasi imeshachukuliwa? hao wanaotoboa usaili huwa wanakuwa wapi?
kama una sifa kajarib bahati yaki
We mzee umezingua tu kubali.Hizi criteria na zenyewe lazima ziwe regulated na serikali otherwise hazimsaidii graduate wa Tanzania kupata kazi kwa kumtengenezea mazingira wezeshi.Mfano hili Tangazo la BOT ni changamoto sana manake mtu unaweza kuta ana 2nd Class au pengine 1st Class lakini anakuwa hawezi ku qualify sababu siyo fresh graduate au ana 2nd class lakini ana experience ya more than 3 yrs ambayo ipo nje ya qualifications-Huku ni kumtengenezea mazingira magumu mno graduate.
Elewa mzee main target yao ilikua ni Freshiers from school. Kama inavyo kuaga wangine watasema experience ya miaka kadhaa 2,3 or whatever na gpa watasema kama watahitaji kulingana na demand yao. The vice versa is trueMkuu ulienda shule ukasoma na kuelimika kweli? Umesoma na kuelewa nilichokiandika au unaleta cheap argument? Kwa hiyo ukiwa na GPA ya 5 uliyoipata let's say 2015 na experience ya bank ya 5 yrs ndo una qualify kuitwa kwenye interview?
Kuna kitu inaitwa EMSSasa kaka unabisha nini...fatilia basi aina za anuani ujue zipi za kupeleka kwa mkono au kwa posta maana unabisha bila kuwa na uelewa wa adress types...ndio maana mnakosa kazi hivyohivyo...unapeleka posta barua inafika muda wa recruit umepita...by the way walikuw wanaruhusu watu kupelekeana , u just submit the envelope and register the name ...
Fungua PDF
Mnaosemaga GPA si Chochote mjionee wenyewe.
Kitu cha June we unakitafuta September?Jaman kwangu haifunguki
Kitu cha June we unakitafuta September?
Mchakato wa BOT huwa ni wa muda mrefu.Wanaweza kutangaza kazi leo interview zikafanyika baada ya miezi 6Ni kweli mkuu mbona mpaka sasa hatujaona mrejesho wao? Hawajatangaza chochote tena kama kuna walio itwa kwenye usahili au interview hamna
Duh kumbe..bas wacha tusubiriMchakato wa BOT huwa ni wa muda mrefu.Wanaweza kutangaza kazi leo interview zikafanyika baada ya miezi 6
Walitangaza muda sanaaKhaaa heee sjaona kbsaaa apo juu
Wee nae mbona hueleweki mara tayari wameshaanza kuita huku unasema vingineMchakato wa BOT huwa ni wa muda mrefu.Wanaweza kutangaza kazi leo interview zikafanyika baada ya miezi 6
Baadhi ya idara za afya walikuw contacted...au ww ni daktari hujaitwA unaleta makasirikoWee nae mbona hueleweki mara tayari wameshaanza kuita huku unasema vingine
Ungespecify kuliko kugeneralise makasiriko ya nini sasa kwani nakufahamuBaadhi ya idara za afya walikuw contacted...au ww ni daktari hujaitwA unaleta makasiriko
Sasa ww unauliza kwa kupanik instead ya kuuliza kistaarabu ueleweshwe,utakavyouliza ndivyo utakavyojibiwaUngespecify kuliko kugeneralise makasiriko ya nini sasa kwani nakufahamu
Mkiwa mnasoma vitu vya watu muwe katika mood zinazostahiliSasa ww unauliza kwa kupanik instead ya kuuliza kistaarabu ueleweshwe,utakavyouliza ndivyo utakavyojibiwa
Muambie huyo aliyekuja kwa kupaniki in the first place, not meMkiwa mnasoma vitu vya watu muwe katika mood zinazostahili