anadhani kuwa am very desparet na kazi,walaa am very comfy japo cfanyi kazi.
tatiana wala manenono yasikuchoshe.wengi tumesoma course tofauti na kazi tunazofanya.ugumu wa uapatikanaji wa kazi sote tunauelewa,at least mara nyingi kazi kama za loan officer hazihitaji sana proffession ndo mana hata access bank kwa sasa wanarecruit form six leavers kwa kazi hiyo.
Usijali,jaribu kutuma maombi finca
kila la kheri!
kabla ya kusoma inabidi ujiulize utafanya kazi gani baadae!!
anadhani kuwa am very desparet na kazi,walaa am very comfy japo cfanyi kazi.
tatiana kuna post za micro loan officer na bank teller zimetangazwa na access bank. Unaweza kuaply dedline ya micro loan ofc ni april.
Try it my dear. Ingia kwenye website yao utapata detailz zote.
kama uko comfy si uendelee kuzurura sasa, unasumbulia nini watu? Kula kona
utapata mkuu ucjali....but kuna pipo hasa kipindi tuko vyuoni wanapenda sana kudharau course wanazosoma watu wengine hasa za education...of coz nimeexperience hilo pindi nachukua my ba ed na pipo zilizokuwa zinachukua bba and other courses tofauti na sisi wa education walikuwa wanaonyesha dharau za wazi wazi...but nw tuko kitaa (real world) nimegundua mambo mengi sana..it doesnt matter what you know but whom you know..thats is the principle of kitaaa... Acheni dharau bana..
Tatiiiiii, kazi ni nyingi, Siku hizi watu wa benki hasa CRDB wanachukua watu wa fani zako kama tellers maana wakichukua wahasibu hawakai. Hivyo graduates wengi wa SUA utawakuta CRDB na NMB. Maana wakipata hapo wanatuliaaaa. Si unajua mambo ya home economics, agriculture na nutrition hayapewi kipaumbele maana fedha za kilimo kwanza zimeliwa na Rostam na jamaa zake. Hata hivo bonyeza hapa kuna kazi kibao. Ukikosa uje huku niliko tuandikage proposal tuihudumie jamii kitakachobaki twajilia sie. OK bofya hapa. Niko serious. Si unajua mwanaume kwa mwanamke ni sawa na mfupa kwa fisi???? ahahahahaa alafu mie mhaya hapa KATERERO kwa kwenda infront.!!
nenda access bank Tatiana, kuna anafasi za kazi za loan officers, Maisha yako hivyo kila siku tunatafuta wala usikate tamaa wala kuchoka...... Mungu akutangulie kila unapopeleka maombi
tatiiiiii, kazi ni nyingi, siku hizi watu wa benki hasa crdb wanachukua watu wa fani zako kama tellers maana wakichukua wahasibu hawakai. Hivyo graduates wengi wa sua utawakuta crdb na nmb. Maana wakipata hapo wanatuliaaaa. Si unajua mambo ya home economics, agriculture na nutrition hayapewi kipaumbele maana fedha za kilimo kwanza zimeliwa na rostam na jamaa zake. Hata hivo bonyeza hapa kuna kazi kibao. Ukikosa uje huku niliko tuandikage proposal tuihudumie jamii kitakachobaki twajilia sie. Ok bofya hapa www.kazi999.blogspot.com . Niko serious. Si unajua mwanaume kwa mwanamke ni sawa na mfupa kwa fisi???? Ahahahahaa alafu mie mhaya hapa katerero kwa kwenda infront.!!