Bank teller/loan officer jobs

Bank teller/loan officer jobs

anadhani kuwa am very desparet na kazi,walaa am very comfy japo cfanyi kazi.

Very good my dear,patience kidogo tu and God almighty is gonna give you the job you deserve.Never give up,or take a cheap job,you deserve better.Goodluck!
 
very good my dear,patience kidogo tu and god almighty is gonna give you the job you deserve.never give up,or take a cheap job,you deserve better.goodluck!

kweli kabisa. Thanks a lot dia
 
Tatiana wala manenono yasikuchoshe.wengi tumesoma course tofauti na kazi tunazofanya.Ugumu wa uapatikanaji wa kazi sote tunauelewa,at least mara nyingi kazi kama za loan officer hazihitaji sana proffession ndo mana hata Access Bank kwa sasa wanarecruit form six leavers kwa kazi hiyo.

Usijali,Jaribu kutuma maombi FINCA

Kila la kheri!
 
tatiana wala manenono yasikuchoshe.wengi tumesoma course tofauti na kazi tunazofanya.ugumu wa uapatikanaji wa kazi sote tunauelewa,at least mara nyingi kazi kama za loan officer hazihitaji sana proffession ndo mana hata access bank kwa sasa wanarecruit form six leavers kwa kazi hiyo.

Usijali,jaribu kutuma maombi finca

kila la kheri!

yo ver rite neytemu. Nitatuma finca,asante sana kwa kunipa moyo.
 
TATIANA kuna post za micro loan officer na bank teller zimetangazwa na access bank. unaweza kuaply dedline ya micro loan ofc ni april.
try it my dear. ingia kwenye website yao utapata detailz zote.
 
kabla ya kusoma inabidi ujiulize utafanya kazi gani baadae!!

Si kweli kabisa napingana na wewe. degree ni degree, hii elimu tuliodesa kwa mzungu mbona wao wanafanya hivyo? unasoma degree yeyote na kazi unapiga. Mbona kuna watu wana GPA ya kufa mtu kwenye finance na wakifika ofisini/finace dept wanachemsha kabsaaa kwenye performance. Mtu mwingine anaotoka social science na anakuwa trained anafanya wonders.
 
utapata mkuu ucjali....but kuna pipo hasa kipindi tuko vyuoni wanapenda sana kudharau course wanazosoma watu wengine hasa za education...of coz nimeexperience hilo pindi nachukua my BA Ed na pipo zilizokuwa zinachukua bba and other courses tofauti na sisi wa education walikuwa wanaonyesha dharau za wazi wazi...but nw tuko kitaa (real world) nimegundua mambo mengi sana..it doesnt matter what you know but whom you know..thats is the principle of kitaaa... Acheni dharau bana..
 
tatiana kuna post za micro loan officer na bank teller zimetangazwa na access bank. Unaweza kuaply dedline ya micro loan ofc ni april.
Try it my dear. Ingia kwenye website yao utapata detailz zote.

thx birungi,niliona kuwa wanataka non graduates
 
kama uko comfy si uendelee kuzurura sasa, unasumbulia nini watu? Kula kona

hebu nawe acha kudandia treni kwa mbele. Ungesoma mtiririko wa thread ndo ujue cha kuchangia na si kuvamia tu utadhani simba mwenye njaa. Watu wengine bwanaa........
 
utapata mkuu ucjali....but kuna pipo hasa kipindi tuko vyuoni wanapenda sana kudharau course wanazosoma watu wengine hasa za education...of coz nimeexperience hilo pindi nachukua my ba ed na pipo zilizokuwa zinachukua bba and other courses tofauti na sisi wa education walikuwa wanaonyesha dharau za wazi wazi...but nw tuko kitaa (real world) nimegundua mambo mengi sana..it doesnt matter what you know but whom you know..thats is the principle of kitaaa... Acheni dharau bana..

ni kweli kabisa mkuu,mambo ya chuoni na mtaani tofauti sanaa,yaani pindi tupo chuo mtu unaona kama vile ukitoka tu na degree unakuwa manager kumbe daaah...
 
nenda access bank Tatiana, kuna anafasi za kazi za loan officers, Maisha yako hivyo kila siku tunatafuta wala usikate tamaa wala kuchoka...... Mungu akutangulie kila unapopeleka maombi
 
Tatiiiiii, kazi ni nyingi, Siku hizi watu wa benki hasa CRDB wanachukua watu wa fani zako kama tellers maana wakichukua wahasibu hawakai. Hivyo graduates wengi wa SUA utawakuta CRDB na NMB. Maana wakipata hapo wanatuliaaaa. Si unajua mambo ya home economics, agriculture na nutrition hayapewi kipaumbele maana fedha za kilimo kwanza zimeliwa na Rostam na jamaa zake. Hata hivo bonyeza hapa kuna kazi kibao. Ukikosa uje huku niliko tuandikage proposal tuihudumie jamii kitakachobaki twajilia sie. OK bofya hapa www.kazi999.blogspot.com . Niko serious. Si unajua mwanaume kwa mwanamke ni sawa na mfupa kwa fisi???? ahahahahaa alafu mie mhaya hapa KATERERO kwa kwenda infront.!!
 
Tatiiiiii, kazi ni nyingi, Siku hizi watu wa benki hasa CRDB wanachukua watu wa fani zako kama tellers maana wakichukua wahasibu hawakai. Hivyo graduates wengi wa SUA utawakuta CRDB na NMB. Maana wakipata hapo wanatuliaaaa. Si unajua mambo ya home economics, agriculture na nutrition hayapewi kipaumbele maana fedha za kilimo kwanza zimeliwa na Rostam na jamaa zake. Hata hivo bonyeza hapa kuna kazi kibao. Ukikosa uje huku niliko tuandikage proposal tuihudumie jamii kitakachobaki twajilia sie. OK bofya hapa
. Niko serious. Si unajua mwanaume kwa mwanamke ni sawa na mfupa kwa fisi???? ahahahahaa alafu mie mhaya hapa KATERERO kwa kwenda infront.!!

jamani kazi ziko hapo bofyeni fasta. Mie kwa kweli namshukuru Mungu ila, jamani degree moja sasa hivi watu kibao, tusipoangalia tutaishia kuwa watendaji wa Kata.Tujitahidi tusome hata masters za distance ili ka - tofauti kawepo.
 
nenda access bank Tatiana, kuna anafasi za kazi za loan officers, Maisha yako hivyo kila siku tunatafuta wala usikate tamaa wala kuchoka...... Mungu akutangulie kila unapopeleka maombi

mama D thank you sana,access bank nimeona wanataka non graduates,ctachoka kabisa maana ninajua Mungu yupo nami kila wakati.
 
tatiiiiii, kazi ni nyingi, siku hizi watu wa benki hasa crdb wanachukua watu wa fani zako kama tellers maana wakichukua wahasibu hawakai. Hivyo graduates wengi wa sua utawakuta crdb na nmb. Maana wakipata hapo wanatuliaaaa. Si unajua mambo ya home economics, agriculture na nutrition hayapewi kipaumbele maana fedha za kilimo kwanza zimeliwa na rostam na jamaa zake. Hata hivo bonyeza hapa kuna kazi kibao. Ukikosa uje huku niliko tuandikage proposal tuihudumie jamii kitakachobaki twajilia sie. Ok bofya hapa www.kazi999.blogspot.com . Niko serious. Si unajua mwanaume kwa mwanamke ni sawa na mfupa kwa fisi???? Ahahahahaa alafu mie mhaya hapa katerero kwa kwenda infront.!!

muganyizi,asante sana kwa ushauri wako,ila hapo mwisho mhhh!,,!,,! Naogopa mie!
 
Back
Top Bottom