Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
45,000 ni noti 9 tu. Alichomoa kadhaa kwa kila bundle. Ni ngumu kiasi kupima kwa macho na kugundua kama noti 2-3 hazimo kwenye noti 100.Kwani 45000 mbona sio kubwa kama million 4.5. Ulishindwaa hata kupima kwa macho mzee, au ndo kutaka kutudanganya
Hujamuelewa mleta uzi, rudia kusoma alivyoandika.Kwani 45000 mbona sio kubwa kama million 4.5. Ulishindwaa hata kupima kwa macho mzee, au ndo kutaka kutudanganya
Pole sana. Mie pia nimewahi kufanyiwa hivyo na bank teller wa CRDB LumumbaDuh nikiwa mdogo enzi hizo elfu kumi ni hela haswa nilipeleka fedha za mauzo CRDB hakika nilitoka na vidonda vya moyo havijakauka mpaka wa leo. Dada mmoja sura yake imenikaa kichwani sijui lini nitaisahau.
Nimetoa fedha mafungu kama matatu niliyoyahesabu kwa unakini wakati natoka nyumbani na kurudiwa na mlezi wangu mbogo kuliko mbogo. Kumpa dada wa benki ananiambia elfu ishirini imepelea akanirudishia fedha nihesabu mwenyewe tena.
Niliziacha hapo nikaenda kukaa kwanza mapigo ya moyo yakienda mbio hatari nikitafakari namna ya kukutana uso kwa uso na yule mbogo kule nyumbani huku nikieleza kilichonisibu.
Kumbe dada yule alizidondosha chini makusudi fedha zile. Sikudeposit tenanikarejesha fedha nyumbani kilichonikuta Mungu pekee ndiye anaweza kukisamehe..
umezificha mkuu hahahaaaNilishaacha kupeleka pesa bank mda mrefu
Sio kuficha mkuu. Kuna watu nilitaka kuwalipa wakazingua kazi nikaahirisha. Mpunga haukuguswa na yeyote maana niliuweka sehemu salamamtoa mada upo vizuri sana naona sekeseke la uchumi halijakukumba yani hutoe hela jumamosi ukae nazo bila mishe yoyote hadi j4 ulienda kuzificha nini! afukama umetoa hela jumamosi unazihesabu jana sikuzote zilikuwa wapi? je kama mkeo au watu wakaribu wamenyofoa?
Hatari sana hii. Inasemekana pia baadhi ya tellers wa CRDB ndo mchezo wao huu. Hali ni ngumu ila udokozi kwa style hii haukubaliki.Pole sana. Mie pia nimewahi kufanyiwa hivyo na bank teller wa CRDB Lumumba
Nmeshamuelewa mkuuHujamuelewa mleta uzi, rudia kusoma alivyoandika.
Natamani uendelee kusimuliaDuh nikiwa mdogo enzi hizo elfu kumi ni hela haswa nilipeleka fedha za mauzo CRDB hakika nilitoka na vidonda vya moyo havijakauka mpaka wa leo. Dada mmoja sura yake imenikaa kichwani sijui lini nitaisahau.
Nimetoa fedha mafungu kama matatu niliyoyahesabu kwa unakini wakati natoka nyumbani na kurudiwa na mlezi wangu mbogo kuliko mbogo. Kumpa dada wa benki ananiambia elfu ishirini imepelea akanirudishia fedha nihesabu mwenyewe tena.
Niliziacha hapo nikaenda kukaa kwanza mapigo ya moyo yakienda mbio hatari nikitafakari namna ya kukutana uso kwa uso na yule mbogo kule nyumbani huku nikieleza kilichonisibu.
Kumbe dada yule alizidondosha chini makusudi fedha zile. Sikudeposit tenanikarejesha fedha nyumbani kilichonikuta Mungu pekee ndiye anaweza kukisamehe..