Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Jumamosi nilienda KCB branch moja Posta na kuchukua 4.5M. Yule teller akanipa zile bundles za buku tanotano. Sikumtilia shaka kutaka azipitishe kwenye mashine maana alionekana kama "muungwana na mstarabu" flani hivi na nilikuwa na haraka kidogo. Jana nazihesabu na kukukuta kumbe alinipiga jumla ya Tshs. 45,000/=.
Be warned. Siku ukiona teller yeyote hataki kupitisha mpunga kwenye machine, shtuka. Ni bora uonekane mbishi na upoteze muda wako kidogo kuliko kujuta baadae
Be warned. Siku ukiona teller yeyote hataki kupitisha mpunga kwenye machine, shtuka. Ni bora uonekane mbishi na upoteze muda wako kidogo kuliko kujuta baadae