Dah!!Hii ilishaga wahi kunitokea aiseee!!
Niliagizwa na kaka yangu nipeleke hela CRDB BANK kwa ajili ya kuongezewa salio kwenye till ya M-PESA
Duh!!nilipewa milioni nne za elfu kumi kumi zote na nilizihakiki kabla hata sijaenda Bank
Eti kumupa tu tellar pale counter anihudumie
Kuhesabu hivi eti elfu 40 imepelea
Aiseèe niling'aka mpaka akazirudisha kwa kutoa kwenye mkoba wake coz alikuwa mwanamke,binti,msichana mrembo sana
Mpaka leo sikujuaga zile hela zilipeleaje
Ila yule dada alijitajidi kunifatiria naishi wapi na nafanya nini mpaka akajaga kujua napoishi
Muda,siku chache zilipita yule dada nikakutanaga nae disco na akaniomba nicheze nae muziki.
Alionyesha ushirikiano sana na tabasamu la ukweli muda ule.
Muda ukaisha wa disco yule dada kaniomba nimusindikize nyumbani kwake maana castle lite zilikuwa zimemukaa kunanko.
Dah!!Hata sikumbuki nini kilitokeaga ndani ya gari yake nilimugegeda vimbaya sana.
Tulivyofika nyumbani kwake kaniganda nilale sikuwa na hiyana maana si kwa papuchi tamu,ina uterezi kiasi,msitu wa amazoni kiasi(sikutumia kinga na nilipima niko salama mpaka sasa)