Bank ya NBC mitambo yake ina kwikwi

Bank ya NBC mitambo yake ina kwikwi

Fidel80

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2008
Posts
21,947
Reaction score
4,470
Naweza sema leo karibia siku 4 au 5 Bank ya NBC katika baadhi ya matawi yake system zimelala jumla kila ukienda unaambiwa system hazijaamka. Sasa sijui watu wa IT wa hii bank ni wachovu au vp mfano tawi la Kichwele jengo jipya system zimelala tokea Jmosi tr.18 July mpaka hivi sasa haziaamka tawi la Samora system zilipata kwikwi toka jana mpaka leo hii huduma hakuna.
NBC jamani vp au ndo kufulia? Watu tunamaliza sole za viatu kuja kupata huduma lakini tunaambulia neno system hazijaamka badilikeni jamani tatizo la kwikwi kwenye system yenu sasa ni sugu wanawashinda hata NMB jamani wkt kwenu mmesheni wataalam kibao.
 
system zao mbovu, juzi nilisota kutafuta ATM inayofanya kazi kwani matawi ya ATM yao yalikuwa yanatoa ujumbe huu ukiweka kadi "the cannisters are not working"
 
Hawa jamaa kwakweli wanachosha sana ATM zao pesa inawahi kuisha mapema yaani hawafanyi kazi kwa kujituma cha kushangaza utakuta hapo hapo bank nje kuna ATM utakuta haifanyi kazi sijui wakoje mi nahama kabisa hii bank.
 
system zao mbovu, juzi nilisota kutafuta ATM inayofanya kazi kwani matawi ya ATM yao yalikuwa yanatoa ujumbe huu ukiweka kadi "the cannisters are not working"

Siku za week ndo iwa inakuwa balaa unaweza ukazunguka mpaka uchoke.
 
Karibuni Standard Chartered Bank! It is very reliable!!!
 
Mkuu hii ni benki ya wenye nazo maana bank charges zao ziko juu mno. Kwahiyo mwenye kipato kidogo atalia.
....cheap can be expensive mazee!! Sina nia ya Matangazo hapa lakini karibu: StanChart/KCB
 
Naweza sema leo karibia siku 4 au 5 Bank ya NBC katika baadhi ya matawi yake system zimelala jumla kila ukienda unaambiwa system hazijaamka. Sasa sijui watu wa IT wa hii bank ni wachovu au vp mfano tawi la Kichwele jengo jipya system zimelala tokea Jmosi tr.18 July mpaka hivi sasa haziaamka tawi la Samora system zilipata kwikwi toka jana mpaka leo hii huduma hakuna.
NBC jamani vp au ndo kufulia? Watu tunamaliza sole za viatu kuja kupata huduma lakini tunaambulia neno system hazijaamka badilikeni jamani tatizo la kwikwi kwenye system yenu sasa ni sugu wanawashinda hata NMB jamani wkt kwenu mmesheni wataalam kibao.
mkuu wanajili kweli watu wa IT au ndio wale ma IT Specialist and nini sijui consultant? hiri ri nchi rife tu......mbona vijana wengi wana magamba ya uhakika hawawapi kazi?

Nasikia CRDB wana out source mtaalam wa kurekebisha system zao toka India....sijui kweli? kazi ambayo hata IT specialist i'm sure anaweza kuifanya akilipwa vema......
fidel toa pea zako huko bora uzichimbie ndani kwako......
 
mkuu wanajili kweli watu wa IT au ndio wale ma IT Specialist and nini sijui consultant? hiri ri nchi rife tu......mbona vijana wengi wana magamba ya uhakika hawawapi kazi?

Nasikia CRDB wana out source mtaalam wa kurekebisha system zao toka India....sijui kweli? kazi ambayo hata IT specialist i'm sure anaweza kuifanya akilipwa vema......
fidel toa pea zako huko bora uzichimbie ndani kwako......

nani huyu wa hapa JF au?
 
Labda wizi wa kwenye ATMs ni sababu ya NBC kusitisha matumizi ya ATM zake?
 
Karibuni Standard Chartered Bank! It is very reliable!!!
Ohooo, huna habari Kasheshe. Stan Chat (kama tuiitavyo tulio wengi) wanakamua tofauti na matarajio yako. Hasa wale wanaochukua mikopo benki hii wanaweza kukuthibitishia tatizo kubwa la benki hii.

Je ndo mwanzo wa 'kufulia'???? Karibuni CRDB

Same stuff, CRDB kuna skendo likiibuka wengi mtafunga akaunti zenu!

mkuu wanajili kweli watu wa IT au ndio wale ma IT Specialist and nini sijui consultant? hiri ri nchi rife tu......mbona vijana wengi wana magamba ya uhakika hawawapi kazi?

Nasikia CRDB wana out source mtaalam wa kurekebisha system zao toka India....sijui kweli? kazi ambayo hata IT specialist i'm sure anaweza kuifanya akilipwa vema......
fidel toa pea zako huko bora uzichimbie ndani kwako......

Mh, mkuu wataalam wa NBC ndio hao baada ya kuwepo topic moja inayowagusa hapa JF waliamua kuwazuia wafanyakazi wao wasiweze ku-access JF kabisa na websites nyingine isipokuwa Google na Yahoo!

Hawa wataalam wa IT wa NBC ndio hawa wame-install kwenye Servers zao zote Countrywide Windows Server 2000 kwakuwa kwao hiyo ndiyo latest release. Wataalam hawahawa kwa hasira baada ya kuona topic hii:

https://www.jamiiforums.com/business-economic-forum/30219-atm-za-nbc-ni-kero-kwa-wateja.html
na hii https://www.jamiiforums.com/busines...k-ni-kero-hivi-wenzangu-mnawaelewa-elewa.html

Wakaamua kuwazuia wafanyakazi wao wasione nini kinaongeleka, badala ya kuchukua hatua za kuzuia tatizo wakachukua hatua za kutoona kabisa kinachoongeleka!

Hawajui kuwa tuko well informed juu ya wizi wa zaidi ya Bil 15 uliofanyika ndani ya bank hii na hawajui role ya JF mpaka wizi huu kuweza kushtukiwa!

We're 1 step ahead!
 
Hawa wataalam wa IT wa NBC ndio hawa wame-install kwenye Servers zao zote Countrywide Windows Server 2000 kwakuwa kwao hiyo ndiyo latest release. https://www.jamiiforums.com/business-economic-forum/30219-atm-za-nbc-ni-kero-kwa-wateja.html
-bwa ha ha ha ha kazi ipo kama benki kubwa kama NBC bado wanatumia O/S zilizopitwa na wakati sishangai kwanini mitanzania kwanini haina akili.....nyie ma IT gurus wa NBC hilo mna habari hizi from MS

All Windows 2000 support including new security updates and security-related hotfixes will be terminated on July 13, 2010

ilishapigwa chini siku nyingi ila imepewa ka muda mpaka july 2010.....nyie ndio mnaona latest.....si ajabu mkawafungia wafanyakazi wenu wasione JF....

Nyie NBC mnatumia system gani kwenye database zenu kama hata server tu bado mko 2000 kweusi.......
 
hata ukitaka kuweka pesa foleni zake huwa ni ndefu sana. Sasa mtu anawaza kuweka ni foleni namna hii, nikitaka kuchukua mashine haziaminiki unaweza ukakuta hela imekwisha au haifanyi kazi. kweli kwa mwendo huu wateja wakiwakimbia mtawalaumu?

NBC badilikeni. Na muache hii tabia ya kusema system haijaamka ni tatizo linalojirudia kila mara. Tafutieni ufumbuzi.
 
Duh itabidi nihamishe masurufu yangu yote NBC niache kiasi cha mboga tu maana hii bank inako elekea si kwenyewe si wawaache hao wafanyakazi wapate data kutoka JF duhh hii kazi kweli kweli. Naogopa isije ikawa kama DECI.
 
-bwa ha ha ha ha kazi ipo kama benki kubwa kama NBC bado wanatumia O/S zilizopitwa na wakati sishangai kwanini mitanzania kwanini haina akili.....nyie ma IT gurus wa NBC hilo mna habari hizi from MS



ilishapigwa chini siku nyingi ila imepewa ka muda mpaka july 2010.....nyie ndio mnaona latest.....si ajabu mkawafungia wafanyakazi wenu wasione JF....

Nyie NBC mnatumia system gani kwenye database zenu kama hata server tu bado mko 2000 kweusi.......
Yo Yo, hiyo signature inatudhalilisha watanzania ukiwa mmojawapo. Au ushaukana uraia mkuu? Au huna akili kweli mpwa? Wenye akili wakenya?

Hizi institutions kubwa zina 'wataalam' wa IT wenye Masters degree na hawa ndo huwashauri staff maofisini kuondoa Windows Vista Ultimate kwenye laptop zao na kuweka Win XP ili laptop zao ziwe compatible na programs hizo za miaka ya 90 na mwanzoni mwa 2000.

Antivirus wanazotumia kwenye servers hata kueleza hapa aibu
 
Kuna benki nyingine zipo zinakua kwa kasi nzuri, Mfano DCB na inatoa huduma nzuri kwa wateja wake kwa kupitia mtandao wa Umoja swich. watu wasifanye Transactions na benki fulani kwa sababu ya jina na umaarufu wake bila kujali shortcomings.
 
Jamani vp hawa Exim bank huduma zao zikoje?
 
Back
Top Bottom