Jamani vp hawa Exim bank huduma zao zikoje?
exim ukitoa hela kwenye unakatwa shilingi 100, monthly charge ni sh.300
ukichukua mkopo interest 24%
huduma zao faster, hamna foleni ATM hata usiku unapata hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani vp hawa Exim bank huduma zao zikoje?
tehe tehe lakini mkuu si ukweli nimechoka na mitanzania.....natafutaa shori wa kisomali anipe mkoba wa somalia....Yo Yo, hiyo signature inatudhalilisha watanzania ukiwa mmojawapo. Au ushaukana uraia mkuu? Au huna akili kweli mpwa? Wenye akili wakenya?
hizo masters watakuwa wamechukua Mecca au vatican....bwa ha ha ha hilo red bolded nishasikia sana....hebu waambie mie mbumbumbu naweza kuwapa ushauri wa bure.........Hizi institutions kubwa zina 'wataalam' wa IT wenye Masters degree na hawa ndo huwashauri staff maofisini kuondoa Windows Vista Ultimate kwenye laptop zao na kuweka Win XP ili laptop zao ziwe compatible na programs hizo za miaka ya 90 na mwanzoni mwa 2000.
Antivirus wanazotumia kwenye servers hata kueleza hapa aibu
Same stuff, CRDB kuna skendo likiibuka wengi mtafunga akaunti zenu!