Habari wana jf, mimi ni mdau wa hili jukwaana na huwa linanisaidia sana..Leo ningependa kufaham Bank yenye riba nafuu mbali na NMB kwa sababu NMB nina deni ambalo bado halijaisha naendelea kulitumikia..Mimi kwa sasa nafanyakazi kwenye kampuni binafsi hapa Dar,nataka mwaka huu kabla haujaisha niwe nimenunua kiwanja angalau cha mil.3 ili niweze kutimiza ndoto zangu, kwa iyo ningependa kujua bank yenye riba nafuu ambayo nitaweza kukopa 3mil na makato yangu yawe kuanzia miaka 3 na kuendelea...
Habari wana jf, mimi ni mdau wa hili jukwaa na huwa linanisaidia sana..Leo ningependa kufaham Bank yenye riba nafuu mbali na NMB kwa sababu NMB nina deni ambalo bado halijaisha naendelea kulitumikia..Mimi kwa sasa nafanyakazi kwenye kampuni binafsi hapa Dar,nataka mwaka huu kabla haujaisha niwe nimenunua kiwanja angalau cha mil.3 ili niweze kutimiza ndoto zangu, kwa iyo ningependa kujua bank yenye riba nafuu ambayo nitaweza kukopa 3mil na makato yake yawe kuanzia miaka 3 na kuendelea...
Nashukuru sana kwa ushauri wako ngoja nkajaribu kuulizia kanisani kwetu Katoliki hapa Kinondoni kama watakuwa na SACCOS ili nijiunge...Benki nyingi Riba zao ni kati ya 18-25 kwa watu wakawaida. Inakuwa pungufu ya hapo kwa taasisi au makampuni. Sababu ya riba wanasema ni risk kwa watanzania hatukopesheki na hatuaminiki. Kwa matajiri wakubwa kama akina Rostam na SACOS wanakopeshwa kwa riba hafi 3%.
Ushauri wangu jiunge na SACOS za kidini hasa za makanisa zitakutoa umasikini.
bayport
Benki nyingi Riba zao ni kati ya 18-25 kwa watu wakawaida. Inakuwa pungufu ya hapo kwa taasisi au makampuni. Sababu ya riba wanasema ni risk kwa watanzania hatukopesheki na hatuaminiki. Kwa matajiri wakubwa kama akina Rostam na SACOS wanakopeshwa kwa riba hafi 3%.
Ushauri wangu jiunge na SACOS za kidini hasa za makanisa zitakutoa umasikini.
ABC Bank TanzaniaHabari wana jf, mimi ni mdau wa hili jukwaa na huwa linanisaidia sana..Leo ningependa kufaham Bank yenye riba nafuu mbali na NMB kwa sababu NMB nina deni ambalo bado halijaisha naendelea kulitumikia..Mimi kwa sasa nafanyakazi kwenye kampuni binafsi hapa Dar,nataka mwaka huu kabla haujaisha niwe nimenunua kiwanja angalau cha mil.3 ili niweze kutimiza ndoto zangu, kwa iyo ningependa kujua bank yenye riba nafuu ambayo nitaweza kukopa 3mil na makato yake yawe kuanzia miaka 3 na kuendelea...
ABC Bank Tanzania
Cku moja nilisikia kwenye taarifa ya habari benki moja inajiita ya kiislam hawatoi riba kabisa kwao ni dhambi hawabagui wateja.Hebu jaribu kuwaona na kuulizia huko huenda ukafanikiwa.
crdb, 18% riba,ni nzur au sacos
Riba maximum 10%. Kiasi cha mkopo maximum ni akiba yako x3. Mfano umeweka akiba 10m unaweza kopa 30m. Kiukweli sacos ni mkombozi kwa mtazamo Wang.SACCOS zinaweza kulipisha riba kama ya kiasi gani?? Maximum wanakopesha kiasi gani?
Riba maximum 10%. Kiasi cha mkopo maximum ni akiba yako x3. Mfano umeweka akiba 10m unaweza kopa 30m. Kiukweli sacos ni mkombozi kwa mtazamo Wang.