Nyam
Senior Member
- Jul 9, 2012
- 134
- 72
Habari wana jf, mimi ni mdau wa hili jukwaa na huwa linanisaidia sana..Leo ningependa kufaham Bank yenye riba nafuu mbali na NMB kwa sababu NMB nina deni ambalo bado halijaisha naendelea kulitumikia..Mimi kwa sasa nafanyakazi kwenye kampuni binafsi hapa Dar,nataka mwaka huu kabla haujaisha niwe nimenunua kiwanja angalau cha mil.3 ili niweze kutimiza ndoto zangu, kwa iyo ningependa kujua bank yenye riba nafuu ambayo nitaweza kukopa 3mil na makato yake yawe kuanzia miaka 3 na kuendelea...