bank zetu haziko security kabisa BOT wapi wamepata access yakuchukua Pesa zote??

Mbona serikali hawatoi njia rahisi kwa watu kupata mitaji....... Kazi tu kupiga mikwara na kutoa onyo. Wao kama serikali wanakuja na mkakati gani ya kusaidia vijana wapate mitaji ya biashara. Wao utasikia mjiunge vikundi kisha tuwape mitaji. Nani anataka mambo ya vikundi ....?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…