majany
JF-Expert Member
- Sep 30, 2008
- 1,223
- 585
- Thread starter
- #41
hahahaaaa Mopalmo,usiogope mapimbi huwa wapo kila siku,lakini kama ulitumia njia flani ukafanikisha kupata kazi,waambie na wenzio,tatizo siku hz watu wanafikiri kila aliyepata kazi alitoa pesa
..so anaona ukiweka tangazo humu unataka kutapeli watu...huu ni ufupi wa mawazo..
..so anaona ukiweka tangazo humu unataka kutapeli watu...huu ni ufupi wa mawazo..