We unajielewa kweli wewe??Kwn hyo familia wanaishi peke yao...tena kijijini aisee..mnavyotusifia mna vyakula
Matukio yaliyopitA eh? Hivi majuzi mmepika mtoto hapo geita, mwanaume mmoja kauza mwanawe laki mbili akachinjwa kama kuku,watoto kumi kule njombe...
Ombaomba wenu wapo kila kona huku Kenya. Wauza mihadarati nao usiseme. Wanakamatwa kila uchao
Halafu hapo Ndipo utajua nyie maskin na hamna technology.So kuhamia kutoka kuchinja albino hadi kuanza kuchinja watoto unaona kama ni sifa, mumelaaniwa nyie na ndio maana nchi yenu maskini siku zote pamoja na kwamba ina rotuba nzur kila sehemu, ina mvua siku zote, ina madini na ni kubwa lakini mpaka sasa mnahesabiwa kwenye mataifa maskini wa kutupwa, msipoacha hayo mambo ya kuwachinja watoto na albino hiyo laana itawatafuna siku zote.
Juzi hadi mumesemwa na UN https://www.timesofisrael.com/un-co...-of-tanzanian-albino-children-for-body-parts/
Suala la ukame Kenya lipo maana zaidi ya nusu ya nchi yetu ni kame tupu, hakunyeshi mvua hata tone, hayo ni mambo ambayo hatuwezi tukayabadilisha, mngekua na ukame kama wa kwetu mlivyo wazembe mbgekufa njaa nyote.
Acha zako bwana, kwa airtel 49bob inanipea 1GB.View attachment 1157280
Mungu anakuona boss
Hata Telkom ni cheap. Kuna 5gb@39 ya usikuAcha zako bwana, kwa airtel 49bob inanipea 1GB.View attachment 1158371
Airtel is very cheap hata TzAcha zako bwana, kwa airtel 49bob inanipea 1GB.View attachment 1158371
Yeah, but huyo brother ako should not exaggerate things to satisfy his own needs.Airtel is very cheap hata Tz
Ila natumia TTCL is more cheap
We unajielewa kweli wewe??
Hao watoto baba yao anaumwa na mama yao,wameshindwa zitumia resources zilizopo because hao ni wadogo.
Hukuona mbuzi pemben wamelala nao??
Asa utaweza mwambia mtoto mdogo achinje mbuzi ataweza??
Tatizo la Kenya njaaa ipo in nature ila wale tabu imewakuta hawakuweza tumia resources vema ilhali wadogo.
Hebu lete ushahidi.
wilson255
Mambo mengine unatakiwa ufiche UPUMBAVU kaka.Kwn wao hawana shamba...utaishi vp kijijini bila hta ya kuwa na shamba..
Eti jamaa anatoka kwenda kutafuta mapapai...kubalini tu hao jamaa walikuwa maskini...japo kuwa si vizuri kuwakejeli...
Halafu wanakijiji km ingelikuwa wana vyakula vya kutosha km mnavyodai...si hta majirani wangeliwasaidia katika hicho kipindi kigumu...
Inaonyesha hta majirani ilkuwa nawo hawajiwezi kivile...always in denial
Si kuna zile night pack.Natumia ttcl 4gb @ 1000 na 10gb @ 2500 na 777mb @ 500
Airtel 1gb @ 1000
Halotel 1gb @ 1000
Na kuna vingine vya night bando pesa kidogo gbs za kutosha na speed kubwa
😲😲 4gb na 10gb ...hebu lete screenshotNatumia ttcl 4gb @ 1000 na 10gb @ 2500 na 777mb @ 500
Airtel 1gb @ 1000
Halotel 1gb @ 1000
Na kuna vingine vya night bando pesa kidogo gbs za kutosha na speed kubwa
Halafu hapo Ndipo utajua nyie maskin na hamna technology.
Misri ardhi yake zaid ya 70% jangwa.
Ila huwasikii wakifa njaaa.
Halkadhalika Saudi Arabia na Qatar.
Wao ili kudhibiti ukame wameanzisha kilimo cha kisasa jangwani.
Na pia wakawa wananunua vyakula ili kuweka akiba ktk baytul mal,
Sasa nyie kwann msifanye hivyooo km kweli mna strong economy ??
Tena hayo mataifa mvua kwa mwaka unaitafuta vp wewe ambae ni semi-arid sio arid km Nchi za kiarabu ??
Natumia ttcl 4gb @ 1000 na 10gb @ 2500 na 777mb @ 500
Airtel 1gb @ 1000
Halotel 1gb @ 1000
Na kuna vingine vya night bando pesa kidogo gbs za kutosha na speed kubwa
[emoji44][emoji44] 4gb na 10gb ...hebu lete screenshot
Mitandao yote Bongo ovyoo sana hata ukipewa bure. Voda tu ndio niliwakubali, wengine wote hamna chochote tupa kule.
Mambo mengine unatakiwa ufiche UPUMBAVU kaka.
We si umewaona mbuzi pemben wamelala nao??
Au hukuona mbuzi pemben wamelala nao??
Km umeona mifugo bas Usiropoke enough mzee BYE
Umeshindwa ielewa point yangu ya kwanza kukujibu.Oooooo!!!kwhyo wanyama ndio kigezo cha kuwa wao ni mtajiri...oh my!!
Dogo..tukitumia hicho kigezo chako...basi waturkana ni matajiri sana...manake wale jamaa wana mifugo km yote...
Alaways in denial....
Mkuu TTCL imeboreshwa nowadaysMitandao yote Bongo ovyoo sana hata ukipewa bure. Voda tu ndio niliwakubali, wengine wote hamna chochote tupa kule.