Banki Kuu yaanika ukuaji wa Tanzania kuwa 5.2% kinyume na takwimu za serikali

Banki Kuu yaanika ukuaji wa Tanzania kuwa 5.2% kinyume na takwimu za serikali

Billionaire mmoja na wengine maskini...
Nairobi pekeake iko na millionaires wengi kuliko tanzania yote
Kusema kweli tangia nianze kuskia kenya ndo nchi yenye uchumi mkubwa East and centrak africa mpaka leo sjawahi elewa huo uchumi unaongelewa unatokea wap: naona tu wamejazana uku Arusha na magari yao wakiungana na warwanda, wa burundi na watu wa zambia na tunaishi nao wote vizuri wengine wameoana na wana familia, sasa sjajua kwann wanaacha uchumi mkubwa nchini kwao wanakuja kwetu, na cha ajab zaidi tajiri mkubwa east and central Africa anatokea Tanzania na wala sio kwenye hio nchi yenye uchumi mkubwa: nchi zingine unakuta uchumi unaendana na wananchi, USA mabilionea wako wengi sana, china ndo uspime na ndo nchi zenye uchumi mkubwa duniani lakini kwa kenya naona tu video kama izi



tuambieni hio nguvu yenu ya uchumi inatokea wapi: wanaume wa nairobi wanajuana kwann wanaachika na wanawake wao: wenzenu wanajiita uchumi mkubwa ukiangalia wananchi nao wana hela nzito, take a look at USA, CHINA, INDIA bila kusema ripoti zmechakachuliwa unaona kabisa wananchi wana hela ambayo sio ya kwaida: so far the only Billionaire anatokea Tz wa east africa: this is real money sio ela za kupika:
 
No, that is absurd, How can Gdp fluctuate on a daily basis?
What I mean is this:
1) If the local currency is over valued, so are all the components of GDP=C+I+G+(X−M)
2) Why is this the case? simply because the medium if exchage in the economy is ksh not dollar, These GDP components are calculated based on the value of the dollar across the whole accounting period and given their value based on the $ value of the day they where transacted
Your premise is GDP fluctuates as currency value fluctuates relative to the dollar. Now just yesterday the Kenyan shilling depreciated by 0.05% to the dollar, according to your logic, today the Kenyan GDP has contracted by 0.05% due to this depreciation. That my friend is pure economic hogwash.
 
Billionaire mmoja na wengine maskini...
Nairobi pekeake iko na millionaires wengi kuliko tanzania yote

Go feed your hungry people first: your talking to a nation that can't complain of hunger yooo, having that much money means business is profitable, same same people who say tz is having hardiship in doing business as per current news he is worth almost $2B while in Kenya while that $1B still is a dream for them, and yet sources say Kenya has an ease in Doing business, be patient my good friend , we have just heard the Kenya curency was hidding its true value, a lot more are waiting to be revealed
 
Mbona unayumba yumba, rais wetu hakuja huko kuzungumza ripoti ya Benk Kuu, hoja iliyo mezani ni kwamba taarifa za wataalam wa Benki Kuu wametoa takwimu ambazo zimewaanika nyie vibaya, sasa badala ya kujibu taarrifa kama zilivyo, umekwenda kujificha nyuma ya issues ambazo hata sijui zinahusiana vipi, mara rais wetu amekujaa Chato, mara magari ya Wakenya yamejaa Arusha, wana Lumumba mna matatizo, huwa hamjiongezi wakati mnatetea.
Hamtak kukubali mnachoambiwa ili mrekebishe, mnajifanya wenye viburi na kutunisha misuli, mumeambiwa mumeshuka kwenye ease of doing business, ukuaji wenu kiuchumi umeshuka, yaani kila taarifa kuwahusu zinaonyesha mnavyoharibu, wana biashara wenu kila siku wanalia vyuma vimekaza, mumeingilia hata mambo ya korosho mkaangukia pua, kila mnachogusa kinazima.
Muache kiburi na kukubali ushauri wa wataalam. Halafu nawashangaa wataalam wa Tanzania wote wako kimya, wengine wameingia kwenye mapambio ya kusifia badala ya kupiga makelele na kutoa usauri, wameacha vijana wa Lumumba buku saba ndio wanatamba kwenye mitandao wakitiririka kejeli.
Tumeshaskia kuhusu currency yenu tunasubiri mengi zaidi
 
Your premise is GDP fluctuates as currency value fluctuates relative to the dollar. Now just yesterday the Kenyan shilling depreciated by 0.05% to the dollar, according to your logic, today the Kenyan GDP has contracted by 0.05% due to this depreciation. That my friend is pure economic hogwash.
Let me even simplify further.
1)Lets assume IMF are correct on 17.5% over valuation
2)Lets take one component in the GDP=C+I+G+(X−M) equation in this case " I " or simply investment in infrastructure
3)For simplicity sake lets reduce I to the dollar value of building Kimwarer dam at ksh 20bn. The payment was made on July 1st 2018 when kes was trading at 100 to the dollar. So kenya used 20bn kes to buy $20m usd and pay the contractor instead of using 23.5bn kes (17.5% + true value)
4) 23.5bn - 20bn is the over valuation that will also refleclect on the GDP calculation at the end of the year

Simply any component of GDP is captured when it occured and woe unto you if you capture it in a fake exchange rate inflated for political reasons..
The ignorant will still bash imf's 17.5% figure
To make matters worse, Kimwarer dam was captured as GDP growth in 2018, and money was spent but on the ground there is nothing..All was stolen
 
Watanzani wanajielewa bro, sio kila kitu kinacholetwa kinapita ivi, sio kama Kenya they don't have to reason kama kinachosemwa ni kwel ama
Mkiambiwa currency yenu strong,nyie mnafuata,mkiambiwa its 30% less valuable na nyie ivo ivo mnafuata, tz government wanareason kwanza izi info unaitwa state house unaeleza umetoa WAP taarifa na unatoa majib sahihi kwa wananchi
 
Though amnot a historian but I think tz played a big part kuwasaaidia kupata independence, with other nations too: and today mmerudi kwenye mind colonialism,
 
KWANZA KITENDO CHA HABARI YAKO KUSEMA TZ NI NCHI YA TATU KTK EAC KIUCHUMI IMENIFANYA NISIIAMIN ILHALI TZ NI MSHINDAN WA KENYA.
PILI KWANN MATAJIR WAKUBWA EAC AND CENTRAL EA WANATOKEA TZ.??
Mshindani gani huyu ambaye ameachwa nyuma kwa upungufu wa 40% ndugu yangu?. Mbona Mexico iliwahi kuwa na tajiri mkubwa duniani (Carlos Slim Helu) lakini bado uchumi wake huwezi kulinganishwa na Marekani? Mbona Nigeria wana tajiri mkubwa Afrika lakini waNigeria ndio hao wanakimbilia huko kuapata kazi na maisha bora? Hii hoja yako ni upuzi mtupu.
 
Mshindani gani huyu ambaye ameachwa nyuma kwa upungufu wa 40% ndugu yangu?. Mbona Mexico iliwahi kuwa na tajiri mkubwa duniani (Carlos Slim Helu) lakini bado uchumi wake huwezi kulinganishwa na Marekani? Mbona Nigeria wana tajiri mkubwa Afrika lakini waNigeria ndio hao wanakimbilia huko kuapata kazi na maisha bora? Hii hoja yako ni upuzi mtupu.

Nigeria hawana tajiri mmoja ama wawili bro alafu nigeria ndo the biggest economy in Africa , it has much billionaires and rich people than even south Africa , na ndio wamekaa as the biggest economy in Africa , sasa nyie ata billionaire mmoja hamna lakini kelele kama mmeshikilia Africa bana, ndo maaana tunawaambia time will tell alot Tayar currency yenu imeshajulikana ni 30% over valued tunasubiria mengi kutoka IMF just relax,
 
Today's news, No comment

tapatalk_1563470513975.jpeg
 
Let me even simplify further.
1)Lets assume IMF are correct on 17.5% over valuation
2)Lets take one component in the GDP=C+I+G+(X−M) equation in this case " I " or simply investment in infrastructure
3)For simplicity sake lets reduce I to the dollar value of building Kimwarer dam at ksh 20bn. The payment was made on July 1st 2018 when kes was trading at 100 to the dollar. So kenya used 20bn kes to buy $20m usd and pay the contractor instead of using 23.5bn kes (17.5% + true value)
4) 23.5bn - 20bn is the over valuation that will also refleclect on the GDP calculation at the end of the year

Simply any component of GDP is captured when it occured and woe unto you if you capture it in a fake exchange rate inflated for political reasons..
The ignorant will still bash imf's 17.5% figure
To make matters worse, Kimwarer dam was captured as GDP growth in 2018, and money was spent but on the ground there is nothing..All was stolen
Ukiangalia vizuri IMF n WB wanamkomoa JPM kwa sababu ya Acacia issue!
 
Yes and the value of the currency determines the dollar value of GDP(Since GDP is quoted in $$).
So if you manupulate the shilling upward, it will reflect in a 17.5% GDP overvaluation..Sit down and have that sink in
Ona huyu mjinga manipulating that comment to suit his preferred diabolical views .Jamaa amesema vizuri the shilling is NOT MANIPULATED BY GOK lakini wewe umeweka chumvi pale . Jinga kabisa wewe.
 
As per this report Tanzania is The third largest economy in East Africa. I would like to know who is the First and Second Largest economy in East Africa
 
Naona umeanza kulia lia..aina haja ya kuwa na billionaire mmoja halafu wengine wote ni maskini...

Kenya ina millionaires wengi hta kuliko nchi zote za east africa...

Hyo billionaire mmoja ina maana hko hamna competition ya maana...ndio manake kampuni kubwa kubwa ni za hao waarabu na wahindi..mliobaki nyinyi ni wavivu...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]billionaire mmoja +kundi la wavivu=ldc
Go feed your hungry people first: your talking to a nation that can't complain of hunger yooo, having that much money means business is profitable, same same people who say tz is having hardiship in doing business as per current news he is worth almost $2B while in Kenya while that $1B still is a dream for them, and yet sources say Kenya has an ease in Doing business, be patient my good friend , we have just heard the Kenya curency was hidding its true value, a lot more are waiting to be revealed
 
Acha uongo.. umetumwa?

Kwa taarifa yako hii ni taarifa rasmi na imetangazwa na BBC.

Not sure why kenyans have troubles with tanzania economy but here is my take down: first of all hio sio official document ya world bank hio ni blog ya bussinessdaily ambayo inamilikiwa na mtu wa kenya: nmeangalia kwenye web ya world bank summary kuhusu Tanzania sjaona anywhere kama hio site inavosema https://www.worldbank.org/en/country/tanzania/overview#2 you can check the overview apa: another thing there is a known secret about these reports znazotolewa na IMF na WORLD BANK: most of them arent true, the only true report we can accept is for ourselves to look at our true lives: are we according to how the reports explains??? for example: you as a citizen are you moving same speed as how your country is developing na hizo report? There was a time back kulikua na report inasema the kenyan shilling is over valued nakumbuka it was discussed here and it was the official report ya IMF: but are all these true? are you really the biggest economy in east and central africa in a way some of your citizens die of hunger: thats what magufuli has been fighting for: you can see this when the president of IMF was called at the state house and he brought a different approach to the report: so the only report we have to take into consideration is within our true self, i have been to nairobi alot of times and i cant compare it to Tanzania anyhow: life in Nairobi is a living hell, most people cant afford that life, kwa wale wanaokaaa Arusha understand how many kenyans wamevamia uku arusha: its like kenyans have made arusha there homeplace, not only are the citizens of kenya alone, including Rwanda, Burundi, and zambia: but kenyans wamechukua sehem kubwa sana , if its to explain to you even the cars za kenya zilizopo uku arusha its a whole new thread, i cant explain much but the citizens of kenya understand the real situation of there life there.. isnt wise to have a battle who is better than the other as something to discuss each now and then, i think the citizens should battle on how they should move forward together, i have friends in Nairobi who we work together on a joint venture and that has been the best of us since we started the song of east african's as common, this isnt the right way for the citizens to interact
20190718_200335.jpeg
 
I am not bitter in any way, just here for the emotional roller coaster ride Tanzanians are experiencing now that your government has been caught pants down lying about verifiable figures, just as a lot of your compatriots get caught on this forum.
Naisikitia sana nchi ya gu asically ni a true definition ya maskini jeuri, hata ukisoma humu arguments zao ni extremely shallow, the truth iko mitaani biashara zinakufa, watoto hawapati kazi wala mikopo ya shule, lakini tumebaki mdomo mdomo
 
Back
Top Bottom