Banki sio rafiki kwa Mfanyakazi/mtu wa kipato Kidogo

Yqonekana hujawahi fanya biashara wewe..


Hiyo saving mpaka ifike 5m ingekuwa rahisi si kila mtu angesave....


Unaijua maana ya riba???
Na kwa nini kuna riba??
lengo la riba ni mkopeshaji apate faida baasi.

usitake kuleta mengine
 
Lakini pia hiyo biashara inatakiwa uwe tayar ushaianzisha na umeona utokaji wake. Siyo umeifikiria tu kichwani then unaenda kukopa. Wengi wameumia sana.
Mikopo ni kwa ajili ya biashara. Sio unakopa kununua gari
 
Nimesoma hii thread nikacheka Sana.

Kwanza nianze kwa kusema mkopo wa fedha si tatizo Kama unavyojaribu kuelezea hapa ila tatizo ni mkopaji.Mkopo ni elimu kama ilivyo elimu nyingine ambayo inahitaji kujifunza na ku master the art of Dept.


Ili ufanikiwe una hitaji kujuwa namna ya kutumia kutumia pesa za watu wengine ambayo hawana kazi nayo(OPM) other people's money.Na hii ndo tunaita mkopo sio.
Sasa Basi lazima ujuwe kuwa anayekupa mkopo(bank) and the like,wao pale wanafanya Biashara na mkopo/fedha wanakupa ile ni bidhaa ambayo wao wanakuuzia hivyo wanatengeneza faida kupitia mkopo wao.Hii sio dhambi/vibaya Katika ulimwengu wa Biashara hii ni akili nzuri.
Mkopo kwa upande wa bank ni assets hivyo ita generate income in their assets colums.Pale hawakupi Bure ila wanafanya Biashara na wewe ( customer).
Sasa basi wewe mkopaji una wajibu wa kufanya mkopo kuwa assets or liabilities. Refer assets and Liabilities definition.
Assets are something puts that money in your pocket and Liabilities are something that takes money out of your pocket.Mkopo mzuri ni ule ambao unakopa alafu unaenda kuzalisha na kukuingizia pesa hivyo hautaweza kukumiza na kulipa kwa uchungu,ila mkopo mbaya ni ule ambao unaenda kukopa alafu unaenda kujenga/kununua liabilities ambazo zina kazi ya kutoa pesa na si kuingiza pesa.

My take:Unapotaka kuchukua mkopo lazima uwe na mipango thabiti ambayo itakussaidia wewe kulipa mkopo bila maumivu yoyote Yale.
Hapa sasa itakubidi uandae walipaji wa mkopo wako(tenants).Unaweza kukopa mkopo alafu ukajenga nyumba na ukapangisha means huo mkopo hautalipa wewe ila wapangaji wako watakuwa wanalipa mkopo wako bila wao kujuwa.
Wafanyakazi wengi ni wahanga wakubwa wa mikopo.
Loans is a leverage of getting rich
 
kukusaidia tu ndugu...ukichukua mkopo benki na kuulipa kwa mda mfupi riba inakuwa ndogo


mfano ukichukua milion 10 then uilipe kwa mwaka riba yake itakuwa ndogo sana kuliko atakaechukua hiyohiyo milioni 10 then ailipe kwa miaka 5

so huyo nduguyo hyo milion 100 kwa miezi sita ni sawa tu...ila angeilipa kwa miaka 5 isingekuwa milioni 6

Benki hawana hyo eti kisa ni mfanyabiashara Mkubwa basi upewe mkopo kwa riba ndogo hiyo NAKATAA..Benki ni taasisi ina taratibu zake
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mifumo ya kibenk iko sahihi sana, changamoto iko kwa wateja. Ukichukua mkopo kisha ukaitumia kwenye matumizi yasiyozalisha lazima uone benk ni mchawi wako.
 
Mkuu nimesoma post yako ingawa hujaandika details zote za gharama na changamoto zote lakini kupata hiyo faida inawezekana kama unauzoefu na mikakati bora ya biashara(better location,raw materials purchase ,efficient machinery and sound market strategy)

Nimeona baadhi wanavyokupinga natamani wajue wapo wachache wamefanikiwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
hiyo unayoizungumza wewe ni reducing figure method, ikiwa inatumika
straight line method italeta matokeo tofauti

Hasara Umfika Mwenye Mabezo
 
Riba imekatazwa sana kwenye vitabu vya dini zote,

Chochote kile kilichokatazwa kwenye dini,
Ukikifanya hasara yake unaiona kabisa,

Sema tu ndio hivyo tunafanya ubishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi nilifatilia mkopo kwny taasisi furani ya mtu binafsi , sasa nilitaka kuchukua 10M sasa
Mchanganuo fomu 200,000
unatakiwa ukatie bima mkopo 1M
Unarudisha Mil 15
Ndani ya two years nikaona ushenz nikasepa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hauwezi kutoboa bila kukopa, wake zetu wajanja sana wao wana vyama vyao wapo wanaopeleka 2,000 kila wiki na wapo 10,000 kila mwezi.
wanakopeshana, sema mfumo wa riba yao na ukopeshaji haupo sawa sana.

niliwashauri mtaji ukishakua walau wapunguze kiwango cha riba maana riba yao ni 10% na mkopo ni mwezi mmoja.

na fomula ipo hivi, utake usitake ipo siku utakopa. sasa bora ukope kwa hiari kuliko kuja kukopa kwa msukumo wa changamoto, labda kuumwa, kuuguliwa, msiba.
tofauti na hapo basi ndio kuuza vitu vya ndani kwa bei ndogo.

kuliwa ni lazima ila ukiwa makini kidogo na mwenye nidhamu itakusaidia kupunguza maumivu.



Hasara Umfika Mwenye Mabezo
 

Unafuu wa mkopo kwenye mabenki ni pale tuu unapokuwa na uwezo wa kuurejesha kwa kipindi kifupi. Kardi muda wa marejesho unapokuwa mrefu vivyo hivyo utajikuta ukirejesha fedha nyingi kama ilivyo kenye case yako.
 

Hapo uliposema usinunue mwenyewe kutoka shambani sijaelewa nilidhani ukinunua mwenyewe ndio itakuwa nafuu
Ni kweli biashara ya chakula haiwezi kufeli watu wanahitaji kula kabla ya chochote kingine
Tatizo ni soko na location kama ulivyosema inamaana kwa Tanzania ni kigoma tu ndio sehemu sahihi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…