Half London
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 261
- 112
Aliyekuwa mwanamuziki wa Twanga Pepeta,Ramadhani Masanja au Banza stone,anaumwa sana na yuko Mbeya. Habari zinasema kakosa hadi nauli ya kurudi Dar Es salaam. Mkurugenzi wa Twanga pepeta Asha Baraka,kasema yeye atamtumia tiketi kwani hawezi kumtumia pesa. Yuko maeneo ya Tunduma pamoja na msanii mwenzake wa zamani wa Twanga anayeitwa Athanas. Source: Radio Tumaini na Luiza Mbutu.
unga mbaya sana daah.
Banza amekula ujana sana..saivi ujana unamla yeye..unga ni hatari sana usifanye mchezo..leo hii Banza ni wakukosa nauli ya kurudi Dar kweli!!?
Asha atakua na tatizo kwenye kumanage wasanii wake...kwanini wanaathirikia kupita kiasi na unga na bangi wakiwa chini yake. Madinda, chokoraa; diof, banza nk. Anasubiri wafe agharamie mazishi? Hawa wasanii wamemtajirisha sana anatakiwa awafanyie zaidi ya kuwatumia tiketi!
Asha atakua na tatizo kwenye kumanage wasanii wake...kwanini wanaathirikia kupita kiasi na unga na bangi wakiwa chini yake. Madinda, chokoraa; diof, banza nk. Anasubiri wafe agharamie mazishi? Hawa wasanii wamemtajirisha sana anatakiwa awafanyie zaidi ya kuwatumia tiketi!
Asha atakua na tatizo kwenye kumanage wasanii wake...kwanini wanaathirikia kupita kiasi na unga na bangi wakiwa chini yake. Madinda, chokoraa; diof, banza nk. Anasubiri wafe agharamie mazishi? Hawa wasanii wamemtajirisha sana anatakiwa awafanyie zaidi ya kuwatumia tiketi!
Unaambiwa hata hela ya kutibiwa hana. Kwahiyo huyo mama ndiye afanye mpango wa kumtumia tiketi kwa magari yanayomfahamu. Ni kisanga!
Unga (madawa ya kulevya) ni donda ndugu Tanzania.
Vijana tusifanye mistake October 2015.
Asha atakua na tatizo kwenye kumanage wasanii wake...kwanini wanaathirikia kupita kiasi na unga na bangi wakiwa chini yake. Madinda, chokoraa; diof, banza nk. Anasubiri wafe agharamie mazishi? Hawa wasanii wamemtajirisha sana anatakiwa awafanyie zaidi ya kuwatumia tiketi!
Wewe Ni Kijana?
Banza amekula ujana sana..saivi ujana unamla yeye..unga ni hatari sana usifanye mchezo..leo hii Banza ni wakukosa nauli ya kurudi Dar kweli!!?