Banza Stone ana hali mbaya

Banza Stone ana hali mbaya

Aliyekuwa mwanamuziki wa Twanga Pepeta,Ramadhani Masanja au Banza stone,anaumwa sana na yuko Mbeya. Habari zinasema kakosa hadi nauli ya kurudi Dar Es salaam. Mkurugenzi wa Twanga pepeta Asha Baraka,kasema yeye atamtumia tiketi kwani hawezi kumtumia pesa Yuko maeneo ya Tunduma pamoja na msanii mwenzake wa zamani wa Twanga anayeitwa Athanas. Source: Radio Tumaini na Luiza Mbutu.

Hapo kwenye red, kunatatizo.

By the way, anaendeleaje huyu kaka yetu?
 
kwa hiyo wote tuvute unga tukitegemea ikulu itatupeleka rehab!mshaurini banza ajiwekee papuchi na macho ya kurembua wapambe wa pale magogoni watamkutanisha na mwajiri namba moja.

Haha haa mkuu una akili sana
 
Hapo kwenye red, kunatatizo.

By the way, anaendeleaje huyu kaka yetu?

Tatizo lililopo hapo ni kwamba mtu anaekula unga akishika hela kidogo lazima akatafute hayo mavitu. Asha baraka anajua. Ndio maana alimtumia ticket
 
Kuna habari zina zagaa ameaga dunia. Ni tetesi lakini. Kama kuna ukweli tuhakikishieni
 
Kuumwa kwa mtu sidhan kama ni sahihi kujadili pia wengine wamezusha kafa sijui kutamsaidia nn huyo alie anzisha uchawi huo.Banza yupo na tutamuacha jiulize umeanza kusikia lini anaumwa hadi leo yupo na waliokua hai wameisha tangulia mbele ya haki
 

Attachments

  • 1435291289067.jpg
    1435291289067.jpg
    28.2 KB · Views: 394
Back
Top Bottom