klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
kabla kukupa ushauri ningependa kujua kwanza , hili bao ni la halali? au la off side?Mwenzenu nahitaji ushauri. Kwa muda muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la wakati wa tendo la ndoa, baada ya kupiga bao moja huwa nakuwa hoi kabisa. Kama nikitaka la pili lazima niuze timu (niende pekupeku). Nifanyeje ili niweze kuwa na nguvu za kuenda hata mabao matatu ndani ya kiroba. Nahiataji msaada wenu jameni