Lububi
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,158
- 3,808
Heshma kwa wadau rika zote.
Nadhan tumeshakubaliana kuwa hasa tuishio mjini imeshakuwa tabia mbaya kurudi nyumban mapema sana baada ya mihangaiko.
Isitoshe mipango hufanyika bar sio kufuatana majumban!
Na hivi wenye wake wanakwepa visiran vya wenza ili zisitolewe saba mkupuo.
Unakuta mke hajakamilisha idad ya maneno yake kwa siku, utaulizwa hata kitu cha kukuharbia siku tu.
Basi tu vile ndoa ni dying institution kila kiumbe kitaishi kwa kujinafasi kivyake. Na onenight stands za hapa na pale.
Sasa nije kwa wamiliki na mameneja wa bar na pubs washamba wa muziki. Dj anaokotwa huko kijiwe cha kuuza cd anayapiga maspika akidhan anafurahisha wateja kumbe ndo anawafukuza mazma. Hakuna cha kujadili kwa mziki ule.
Wenye bar mmewekeza ili mpate hela sasa wadhibiti wasimamiz washamba wa starehe hawa. Hizo kelele zinafukuza wateja hasa wastaarab. Mnabaki na wanywaji wa double kick.
Mziki uwe kiwango cha kuruhusu watu kuongea. Ikibid ma dj wenu muwe mnawapima na akili.
Nadhan tumeshakubaliana kuwa hasa tuishio mjini imeshakuwa tabia mbaya kurudi nyumban mapema sana baada ya mihangaiko.
Isitoshe mipango hufanyika bar sio kufuatana majumban!
Na hivi wenye wake wanakwepa visiran vya wenza ili zisitolewe saba mkupuo.
Unakuta mke hajakamilisha idad ya maneno yake kwa siku, utaulizwa hata kitu cha kukuharbia siku tu.
Basi tu vile ndoa ni dying institution kila kiumbe kitaishi kwa kujinafasi kivyake. Na onenight stands za hapa na pale.
Sasa nije kwa wamiliki na mameneja wa bar na pubs washamba wa muziki. Dj anaokotwa huko kijiwe cha kuuza cd anayapiga maspika akidhan anafurahisha wateja kumbe ndo anawafukuza mazma. Hakuna cha kujadili kwa mziki ule.
Wenye bar mmewekeza ili mpate hela sasa wadhibiti wasimamiz washamba wa starehe hawa. Hizo kelele zinafukuza wateja hasa wastaarab. Mnabaki na wanywaji wa double kick.
Mziki uwe kiwango cha kuruhusu watu kuongea. Ikibid ma dj wenu muwe mnawapima na akili.